Wapo watakaojirudisha wenyewe jelaKati ya wafungwa 5001 waliosamehewa 1,516 wameachiwa huru baada ya kupunguziwa robo ya adhabu ya vifungo vyao. 3495 waliopunguziwa robo ya adhabu zao wataendelea kutumikia vifungo vilivyobaki.
Kwa kugha unayotumia kuwasilisha hoja zako mh!, zinaonesha kiwango chako cha ufahamu, tabia na huruka yako.Magufuli hakuwa na uwezo wa kuniumiza wakati akiwa hai, ataniumiza leo wakati maiti yake inaoza na kuliwa na funza?
Kwani mimi kusema ukweli Magufuli alikuwa anapenda sifa wewe ushaona kaniumiza?
Unapata wapi muunganiko w akimantiki katika haya mambo mawili ambayo hayana muunganiko?
Ukijiharishia halafu mimi nikasema umejiharishia hapo ni lazima uwe umeniumiza? Siwezi kusema umejiharishia kwa kusema ukweli tu kwamba umejiharishia?
Tatizo hujui tofauti ya "hulka" na "huruka".Kwa kugha unayotumia kuwasilisha hoja zako mh!, zinaonesha kiwango chako cha ufahamu, tabia na huruka yako.
Ujumbe umefikaTatizo hujui tofauti ya "hulka" na "huruka".
Wewe ni mshamba hata uandishi wako unaonesha.
Jifunze Kiswahili kwanza kabla ya kujishebedua kujadiliana nami.
Ungekuwa umekosea Kiingereza ningesema lugha ya mkoloni imekuja na meli, sasa wewe Mkonongo wa wapi hata Kiswahili hujui unakuja kujitutumua hapa?
Acha kudandia mambo usiyoweza hata kuyaandika kwa Kiswahili.
Hebu jamani mwacheni JPM apumzike hamchoki kila kitu mama akisema eti nikizuri zaidi ya JPM. JPM kaacha historia miaka mitano tu sio tz ile... Kiwango chake chajuuu hata mama anapimwa kwa kiwango cha JPM...Angekuwa ni Kayafa angeshajitokeza hadharani kueleza kuwa alitakiwa anyonge watu, ila kutokana na ucha-Mungu wake amewasamehe! Ili Apate sifa
Ujumbe ukiuona utaujua?Ujumbe umefika
Naona ujumbe wangu ulikugusa! Tunatofautiana katika kauli (siyo lugha maana umedai sijui Kiswahili na lugha unayoitukuza) katika kuwasilisha hoja na mawasiliano. Mwungwana hupimwa kwa maneno ayatamkayo.Ujumbe ukiuona utaujua?
Kwani nani kakwambia mimi muungwana (si Mwungana) au nataka kuwa muungwana?Naona ujumbe wangu ulikugusa! Tunatofautiana katika kauli (siyo lugha maana umedai sijui Kiswahili na lugha unayoitukuza) katika kuwasilisha hoja na mawasiliano. Mwungwana hupimwa kwa maneno ayatamkayo.
Uamsho siyo wafungwa, ni mahabusu.Uamsho hawajaachiwa?
Au wanaachiwa wagonjwa tu?