CM 1774858
JF-Expert Member
- May 29, 2021
- 5,621
- 5,029
#2025Fever itawapotezea muda wenu bure,hakuna wakumuangusha Rais Samia Suluhu Hassan kwa kazi hizi kubwa na nzuri anazozifanya,
#KAZIIENDELEE NA MAMA
#KAZIIENDELEE NA MAMA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaah Mama kanyaga twendeRAIS SAMIA SULUHU HASSAN ATOA TZS 35BL KUJENGA UWANJA WA "MUSOMA AIRPORT " ILI KUMUENZI HAYATI BABA WA TAIFA KWA VITENDO.
Huu ni muonekano wa baadhi ya vifaa vya ujenzi vya mkandarasi Beijing kutoka nchini China ambavyo vinatarajiwa kutumika katika kazi za maboresho ya uwanja wa ndege wa Musoma karibu na Sehemu alikozaliwa muasisi wa Taifa hili Mwl Julius Kambarage Nyerere,![]()
Serikali sikivu ya Rais Samia Suluhu Hassan imesema inatarajia kutumia kiasi cha TZS 35BL ili kuboresha uwanja wa ndege wa Musoma uliotelekezwa na awanu zote tangu Uhuru,
Maboresho hayo ni pamoja na kuweka lami na kuongeza urefu wa uwanja huo ili kuruhusu ndege kubwa na ndogo kuweza kutua mkoa wa Mara,,Uwanja huu pia utahudumia na maeneo ya jirani kama Simiyu na Mwanza,
Mkuu wa Wilaya ya Musoma, Dkt. Khalfani Haule, amesema kuwa mradi huo ukikamilika utarahisisha huduma za usafiri na usafirishaji kwa wananchi wa Musoma|Mara na pia kuchochea biashara ya utalii kupitia Hifadhi ya Taifa ya Serengeti ambayo ipo mkoani humo kwani kabla Watalii wengi walishuka uwanja wa KIA,
Ameongeza kuwa Uongozi wa Wilaya tayari umejipanga kwa kuupokea mradi huo na wameahidi kutoa ushirikiano wa kutosha kwa Mkandarasi huyo kwa kumpatia eneo la kuchimba mchanga na kokoto za ujenzi.
Naye, Meneja wa Uwanja wa ndege wa Musoma, Mohammed Bakari, amesema kuwa uwanja huo utajengwa na Kampuni ya kikandarasi ya Beijing kutoka China na unatarajiwa kukamilika mwezi Desemba, 2022.
Amefafanua kuwa Mkandarasi huyo tayari ameshawasilisha vifaa vyake katika eneo la mradi kwa ajili ya kuanza rasmi ujenzi huo, na kusisitiza kuwa ujenzi wa uwanja huo unasimamiwa na Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS), mkoa wa Mara.Hakika hakuna kama Rais Samia Suluhu Hassan,
Kpnd cha mzee magu mlikuwa mnamu adress kama ndo anatoa pesaa...mbona imekuwa nongwa tukisema samia katoa hela?sikia, sote tunampenda mama, lakini ninachotajiru kukwambia ni kwamba, hizo hela hajatoa mfukoni mwake, hana hela kama hizo. ni hela za serikali, sema serikali imetoa. over.
Wivu tuKpnd cha mzee magu mlikuwa mnamu adress kama ndo anatoa pesaa...mbona imekuwa nongwa tukisema samia katoa hela?
Acha uongo wako mnapo kuja kusifia tumieni akili kidogo,wakati magufuri ana fariki mkandarasi tayari alikua site,wewe unakuja na ngonjera za uongo uongo,kwani kama ungesema kwamba samia ametoa pesa,ili kuendeleza ujenzi wa uwanja wa msoma unge pungukiwa nini au unazani ss wengine hatupajui msoma.RAIS SAMIA SULUHU HASSAN ATOA TZS 35BL KUJENGA UWANJA WA "MUSOMA AIRPORT " ILI KUMUENZI HAYATI BABA WA TAIFA KWA VITENDO.
Huu ni muonekano wa baadhi ya vifaa vya ujenzi vya mkandarasi Beijing kutoka nchini China ambavyo vinatarajiwa kutumika katika kazi za maboresho ya uwanja wa ndege wa Musoma karibu na Sehemu alikozaliwa muasisi wa Taifa hili Mwl Julius Kambarage Nyerere,![]()
Serikali sikivu ya Rais Samia Suluhu Hassan imesema inatarajia kutumia kiasi cha TZS 35BL ili kuboresha uwanja wa ndege wa Musoma uliotelekezwa na awanu zote tangu Uhuru,
Maboresho hayo ni pamoja na kuweka lami na kuongeza urefu wa uwanja huo ili kuruhusu ndege kubwa na ndogo kuweza kutua mkoa wa Mara,,Uwanja huu pia utahudumia na maeneo ya jirani kama Simiyu na Mwanza,
Mkuu wa Wilaya ya Musoma, Dkt. Khalfani Haule, amesema kuwa mradi huo ukikamilika utarahisisha huduma za usafiri na usafirishaji kwa wananchi wa Musoma|Mara na pia kuchochea biashara ya utalii kupitia Hifadhi ya Taifa ya Serengeti ambayo ipo mkoani humo kwani kabla Watalii wengi walishuka uwanja wa KIA,
Ameongeza kuwa Uongozi wa Wilaya tayari umejipanga kwa kuupokea mradi huo na wameahidi kutoa ushirikiano wa kutosha kwa Mkandarasi huyo kwa kumpatia eneo la kuchimba mchanga na kokoto za ujenzi.
Naye, Meneja wa Uwanja wa ndege wa Musoma, Mohammed Bakari, amesema kuwa uwanja huo utajengwa na Kampuni ya kikandarasi ya Beijing kutoka China na unatarajiwa kukamilika mwezi Desemba, 2022.
Amefafanua kuwa Mkandarasi huyo tayari ameshawasilisha vifaa vyake katika eneo la mradi kwa ajili ya kuanza rasmi ujenzi huo, na kusisitiza kuwa ujenzi wa uwanja huo unasimamiwa na Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS), mkoa wa Mara.Hakika hakuna kama Rais Samia Suluhu Hassan,
Daaah,Kpnd cha mzee magu mlikuwa mnamu adress kama ndo anatoa pesaa...mbona imekuwa nongwa tukisema samia katoa hela?
Kazi iendelee mbele WATANZANIA,RAIS SAMIA SULUHU HASSAN ATOA TZS 35BL KUJENGA UWANJA WA "MUSOMA AIRPORT " ILI KUMUENZI HAYATI BABA WA TAIFA KWA VITENDO.
Huu ni muonekano wa baadhi ya vifaa vya ujenzi vya mkandarasi Beijing kutoka nchini China ambavyo vinatarajiwa kutumika katika kazi za maboresho ya uwanja wa ndege wa Musoma karibu na Sehemu alikozaliwa muasisi wa Taifa hili Mwl Julius Kambarage Nyerere,![]()
Serikali sikivu ya Rais Samia Suluhu Hassan imesema inatarajia kutumia kiasi cha TZS 35BL ili kuboresha uwanja wa ndege wa Musoma uliotelekezwa na awanu zote tangu Uhuru,
Maboresho hayo ni pamoja na kuweka lami na kuongeza urefu wa uwanja huo ili kuruhusu ndege kubwa na ndogo kuweza kutua mkoa wa Mara,,Uwanja huu pia utahudumia na maeneo ya jirani kama Simiyu na Mwanza,
Mkuu wa Wilaya ya Musoma, Dkt. Khalfani Haule, amesema kuwa mradi huo ukikamilika utarahisisha huduma za usafiri na usafirishaji kwa wananchi wa Musoma|Mara na pia kuchochea biashara ya utalii kupitia Hifadhi ya Taifa ya Serengeti ambayo ipo mkoani humo kwani kabla Watalii wengi walishuka uwanja wa KIA,
Ameongeza kuwa Uongozi wa Wilaya tayari umejipanga kwa kuupokea mradi huo na wameahidi kutoa ushirikiano wa kutosha kwa Mkandarasi huyo kwa kumpatia eneo la kuchimba mchanga na kokoto za ujenzi.
Naye, Meneja wa Uwanja wa ndege wa Musoma, Mohammed Bakari, amesema kuwa uwanja huo utajengwa na Kampuni ya kikandarasi ya Beijing kutoka China na unatarajiwa kukamilika mwezi Desemba, 2022.
Amefafanua kuwa Mkandarasi huyo tayari ameshawasilisha vifaa vyake katika eneo la mradi kwa ajili ya kuanza rasmi ujenzi huo, na kusisitiza kuwa ujenzi wa uwanja huo unasimamiwa na Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS), mkoa wa Mara.Hakika hakuna kama Rais Samia Suluhu Hassan,
Uwanja wa ndege ni muhimu pia kwa maendeleo, huo uwanja ni muhimu sana na utasaidia maendeleo Musoma na Mara kwa ujumla, Musoma kuna watu zaidi milioni moja, ni rahisi kujenga madarasa bila serikali lakini uwanja wa ndege ni ngumu kuchangishana, tujifunze kuchangishana pesa na nguvu kazi na kuajiri walimu wetu ili watoto wetu wasome vizuri kuliko kusubiri serikali, muda hausubiriTunazidi kufeli kila kukicha yaani Kuna shule hazina madarasa halafu tuna kazi ya kuenziana tu kweli Kama tz tumelogwa mchawi wetu yupo karibu Sana na sisi kuhakikisha hatufurukuti
Chapa kaziUwanja wa ndege ni muhimu pia kwa maendeleo, huo uwanja ni muhimu sana na utasaidia maendeleo Musoma na Mara kwa ujumla, Musoma kuna watu zaidi milioni moja, ni rahisi kujenga madarasa bila serikali lakini uwanja wa ndege ni ngumu kuchangishana, tujifunze kuchangishana pesa na nguvu kazi na kuajiri walimu wetu ili watoto wetu wasome vizuri kuliko kusubiri serikali, muda hausubiri
Hii miradi yote aliianzisha JPM na pesa yake ipo tangu wakati huo. Punguzeni kusifia vitu visivyo halisi hata Mama najua atakuwa anajisikia vibaya. Na ndiyo maana jana mwenyewe kasema akikaa anasikia sauti ya mtangulizi wake ikimwambia fanya hivi na vile. Na akashuku serikali ya awamu ya tano kwa kuanzisha mambo mazuri ma kwamba ataikamilisha yote. Pia Mama kakiri kjwa ameachiwa urithi mzito.A
Acha uongo wako mnapo kuja kusifia tumieni akili kidogo,wakati magufuri ana fariki mkandarasi tayari alikua site,wewe unakuja na ngonjera za uongo uongo,kwani kama ungesema kwamba samia ametoa pesa,ili kuendeleza ujenzi wa uwanja wa msoma unge pungukiwa nini au unazani ss wengine hatupajui msoma.
Sawa ila sio kweliHii miradi yote aliianzisha JPM na pesa yake ipo tangu wakati huo. Punguzeni kusifia vitu visivyo halisi hata Mama najua atakuwa anajisikia vibaya. Na ndiyo maana jana mwenyewe kasema akikaa anasikia sauti ya mtangulizi wake ikimwambia fanya hivi na vile. Na akashuku serikali ya awamu ya tano kwa kuanzisha mambo mazuri ma kwamba ataikamilisha yote. Pia Mama kakiri kjwa ameachiwa urithi mzito.
Hii miradi yote aliianzisha JPM na pesa yake ipo tangu wakati huo. Punguzeni kusifia vitu visivyo halisi hata Mama najua atakuwa anajisikia vibaya. Na ndiyo maana jana mwenyewe kasema akikaa anasikia sauti ya mtangulizi wake ikimwambia fanya hivi na vile. Na akashuku serikali ya awamu ya tano kwa kuanzisha mambo mazuri ma kwamba ataikamilisha yote. Pia Mama kakiri kjwa ameachiwa urithi mzito.
Acha bhange we kijana. Kwani mama amekwambia bwawa la nyerere ameliterekeza? Au we unaokoteza tu vya kukosoa. Nyie sukuma gang mna matatizo huoni hata polepole ameshajio a mpumbavu ameamua kuachana na harakati zake za kijinga. Kubalini jpm aliharibu nchi.Cheap!
Kumuenzi Mwalimu Nyerere kiuhalisia ni kumaliza Bwawa la Nyerere hilo lilikuwa ni wazo lake na kuhamia Dodoma, Nyerere alianzisha Mji Mkuu mpya wa Dodoma.
Yote mawili Bwawa la Nyerere na Dodoma Samia anayapiga vita, kama si kwa maneno basi kwa vitendo, angalau kulingana na matendo ya watendaji wake.
Mengine yote usanii tu.
Kazi iende mbele,RAIS SAMIA SULUHU HASSAN ATOA TZS 35BL KUJENGA UWANJA WA "MUSOMA AIRPORT " ILI KUMUENZI HAYATI BABA WA TAIFA KWA VITENDO.
Huu ni muonekano wa baadhi ya vifaa vya ujenzi vya mkandarasi Beijing kutoka nchini China ambavyo vinatarajiwa kutumika katika kazi za maboresho ya uwanja wa ndege wa Musoma karibu na Sehemu alikozaliwa muasisi wa Taifa hili Mwl Julius Kambarage Nyerere,![]()
Serikali sikivu ya Rais Samia Suluhu Hassan imesema inatarajia kutumia kiasi cha TZS 35BL ili kuboresha uwanja wa ndege wa Musoma uliotelekezwa na awanu zote tangu Uhuru,
Maboresho hayo ni pamoja na kuweka lami na kuongeza urefu wa uwanja huo ili kuruhusu ndege kubwa na ndogo kuweza kutua mkoa wa Mara,,Uwanja huu pia utahudumia na maeneo ya jirani kama Simiyu na Mwanza,
Mkuu wa Wilaya ya Musoma, Dkt. Khalfani Haule, amesema kuwa mradi huo ukikamilika utarahisisha huduma za usafiri na usafirishaji kwa wananchi wa Musoma|Mara na pia kuchochea biashara ya utalii kupitia Hifadhi ya Taifa ya Serengeti ambayo ipo mkoani humo kwani kabla Watalii wengi walishuka uwanja wa KIA,
Ameongeza kuwa Uongozi wa Wilaya tayari umejipanga kwa kuupokea mradi huo na wameahidi kutoa ushirikiano wa kutosha kwa Mkandarasi huyo kwa kumpatia eneo la kuchimba mchanga na kokoto za ujenzi.
Naye, Meneja wa Uwanja wa ndege wa Musoma, Mohammed Bakari, amesema kuwa uwanja huo utajengwa na Kampuni ya kikandarasi ya Beijing kutoka China na unatarajiwa kukamilika mwezi Desemba, 2022.
Amefafanua kuwa Mkandarasi huyo tayari ameshawasilisha vifaa vyake katika eneo la mradi kwa ajili ya kuanza rasmi ujenzi huo, na kusisitiza kuwa ujenzi wa uwanja huo unasimamiwa na Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS), mkoa wa Mara.Hakika hakuna kama Rais Samia Suluhu Hassan,
Mkuu akili ndogo haiwezi kukuelewa!Cheap!
Kumuenzi Mwalimu Nyerere kiuhalisia ni kumaliza Bwawa la Nyerere hilo lilikuwa ni wazo lake na kuhamia Dodoma, Nyerere alianzisha Mji Mkuu mpya wa Dodoma.
Yote mawili Bwawa la Nyerere na Dodoma Samia anayapiga vita, kama si kwa maneno basi kwa vitendo, angalau kulingana na matendo ya watendaji wake.
Mengine yote usanii tu.