Rais Samia atoa wastani wa madarasa manne na madawati 120 katika kila shule ya Sekondari nchi nzima

Mwezi julai kamwaga za kutosha Afya na elimu. Yule jiwe miaka mitano vijana wanazunguka na bahasha angalau huyu kawakumbuka wadogo zetu.
Yeah mama anafanya makubwa sana


#KAZIIENDELEE KWA KASI &WELEDI ZAIDI
 
Sema serikali,Mama Samia hela ya kutoa hivyo vitu katoa wapi,hebu refeer alivyosema leo CAG Mstaafu

Sent from my Infinix X690 using JamiiForums mobile app
View attachment 1971400
 
Kila siku narudia hili,

Rais anasaini muswada wa bajeti kuwa sheria ya bajeti unajua hili?

Rais ndio Chief budget advisor

Rais ndio chief budget proposer

Rais ndio mbeba ILANI ya CCM



#KAZIIENDELEE KWA KASI &WELEDI ZAIDI
 

Endeleeni kushangilia
 
Kwani IMF wanatoa pesa bila mikataba?
Hawa Algeria riba kwao ni kosa


#KAZIIENDELEE KWA KASI &WELEDI ZAIDI
Mikopo ni aina nyingine ya ukoloni ndio maana baba yenu mwendazake alikua anajitahidi kuikwepa, kwanza kwanini wanakopa wakati walisema tumekubaliana tozo na Kodi kwenye miamala na mafuta pesa zake zitatumika kujenga hiyo miundombinu waliyoitaja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…