Rais Samia atua Chuo cha Taifa cha Ulinzi na kutoa Mhadhara juu ya Falsafa yake ya 4R katika kuongoza serikali yake

Hata hueleweki hoja yako ni nini na ipi maana umejichanganya na kuchanganya mambo utafikiri matakataka yaliyo jalalani
 
Major gen Marco Gaguti …C of S maana yake nini?
 
Chura kiziwi, huwa anasikia kipindi cha kiangazi
 
..tuambie Maza ana mvuto au hana?

..kiongozi akiwa -ke lazima awe na mvuto, vinginevyo hakuna mtu atamfuatilia.
Akili yako ya kitoto sana.wafuasi wa CHADEMA vichwa vyenu ni zero kabisa ndio maana chama kinaendelea kudumaa kila uchwao .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…