Rais Samia atua Chuo cha Taifa cha Ulinzi na kutoa Mhadhara juu ya Falsafa yake ya 4R katika kuongoza serikali yake

Four R zipi?

maridhiano (Reconciliation), mabadiliko (Reforms),
ustahimilivu (Resilience) na
kujenga upya (Rebuilding)

Mbona naona 2m and uk
 
Itapendeza kama Dr Samia awe keynote speaker au atoe presentation ama public lecture kwenye vyuo mbalimbali kuhusu strategic development plan. Amoe kafulila au dr aliyekuwa esrf amuamdalie presentation. Iwe na takwimu, projections na expected results.
Angeanza na Uongozi intitute, NDC, CFR, Udms, mzumbe, TIA, Mwl Nyerere uni of technology haya mambo kagame anayafanya sana ndani na nje ya Rwanda anaalikwa
 
Rais Samia anaweza kufanya mhadhara mahali popote pale
 
Sijamaliza hata kusoma hili andiko lako la chooni, ila fikra za vijana Kama wewe imenifanya niamini hili taifa watu wanaugua ugonjwa wa akili bila kujijua.
 
Mnajuana nyie!
Kwanini huwezi kuishi humu jf bila yeye? Kwanini unampenda wewe na Benjamini
Jana ulimmiss weweπŸ˜‚πŸ€Έ
Ni mwana ila anazingua sana, jana nilimrushia kiteni ndiyo akaingia humu,dogo ni mkuda sana.
 
Ni mwana ila anazingua sana, jana nilimrushia kiteni ndiyo akaingia humu,dogo ni mkuda sana.
Ukimjua mtu hakupi shida
Lucas anachangamsha jukwaa la siasa tumuache, akiondoka tutammiss huyuπŸ˜‚
 
Nyie chadema mna akili fupi yaani mtu akimkubali rais samia bhc ni chawa ,,sasa mm mtanzania na samia ndio rais wetu kwann nimkatae ,samia 2025 atapita na mtabaki na chuki zenu mpk mpate ugonjwa wa moyo maana kukaa na kinyongo kwa miaka 10 c mchezo
 
Nyie chadema mna akili fupi yaani mtu akimkubali rais samia bhc ni chawa ,,sasa mm mtanzania na samia ndio rais wetu kwann nimkatae ,samia 2025 atapita na mtabaki na chuki zenu mpk mpate ugonjwa wa moyo maana kukaa na kinyongo kwa miaka 10 c mchezo
Nyie CCM hamna akili kabisaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…