Rais Samia atua Chuo cha Taifa cha Ulinzi na kutoa Mhadhara juu ya Falsafa yake ya 4R katika kuongoza serikali yake

Sijamaliza hata kusoma hili andiko lako la chooni, ila fikra za vijana Kama wewe imenifanya niamini hili taifa watu wanaugua ugonjwa wa akili bila kujijua.
Kweli wewe huna akili kabisa.yaani unasema hujasoma andiko halafu hapohapo upo kutiririka maneno ya lawama utafikiri mlevi aliyeteleza korongoni. Akili ni mali sana.bila shaka ulienda shule kusomea ujinga na ukaguzi vizuri mafunzo ya ujinga.
 
Kuandaa presentation mwenyewe, kuisoma, kuihakikiki na kupresent hasa kwenye vyuo vikuu, taasisi za elimu kutamsaidia sana kuelewa matatizo on the ground level nakusikiliza hoja za wadau pia.

Mdano suala la wafanyibiashara kariakoo angewaita akawasikiliza na yeye akatoa insightbzake ni kwanini sera fulani hawezi kuzibadili na zingine anazoweza kuzibadili.
Raisi Hichilema wa zambia anafanya sana dscussion na wadau ili kupata picha halisi. Maana kuna report anapelekewa zimepigwa polish hazisemi uhalisia wa mambo.
Hata suala la bandari kama angekuwa na discussion na wadau wa mizigo yeye mwenyewe angeelewa tatizo la bandari ni mtaji na uongozi usio na siasa na sio mwekezaji.
 
Naomba utuambie chuo cha ulinzi wa Taifa kwa kingereza kinaitwaje maana kwenye guide book ya TCU naona mapicha picha
 
Hakika mheshimiwa tunampenda sana lakini ili aeleweke vizuri anachoongea na kusimamia kwenye falsafa zake basi ziwe reflected at ground zero.
Mfano mwemdokasi ya kimara imeshafeli angesikiliza discussion zetu wadau asingahamgaika kupoteza hela kuongeza mwendokasi. Hakuna haja ya tegeta kupeleka mwendokasi au mbagala na.kujenga vinjia vya mita moja kupita magari.
Kupanda kwa gharama za maisha asikilize wadau tunahitaji alunguze vyeo na wizara ili operating cost na mishahara ipungue.

Wananchi wanahitaji lami lakini sio zisizo na kiwango kama ya tabata baracuda
 
Naomba utuambie chuo cha ulinzi wa Taifa kwa kingereza kinaitwaje maana kwenye guide book ya TCU naona mapicha picha
Ndugu yangu uwe makini kwa kila jambo.angalia picha ya Rais wetu kwa nyuma ukutani kuna Bango kubwa limeandikwa kabisa kwa kingereza na kwa maneno makubwa kabisa
 
Hakika kipaji chako cha uchawa ni cha hali ya juu sana, tatizo mama hakuoni , nakushauri jiunge na wale vijana wajinga kina Mwijaku wakuonyeshe kazi zilipo
 


Why unamalizia na neno anatosha ?

Kwani kuna mabadiliko ya mgombea yanatoka kufanyika.?

Wewe unasema anatosha, mwigulu anasema mama anatosha

Why anatosha anatosha ?
 
Why unamalizia na neno anatosha ?

Kwani kuna mabadiliko ya mgombea yanatoka kufanyika.?

Wewe unasema anatosha, mwigulu anasema mama anatosha

Why anatosha anatosha ?
Anatosha kwa sababu ametosheleza na kukidhi matarajio ya watanzania na kukata kiu waliyokuwa nayo watanzania juu ya aina ya Rais waliue mhitaji. Rais Samia ni jibu na jawabu kwa mahitaji ya watanzania.
 
Anatosha kwa sababu ametosheleza na kukidhi matarajio ya watanzania na kukata kiu waliyokuwa nayo watanzania juu ya aina ya Rais waliue mhitaji. Rais Samia ni jibu na jawabu kwa mahitaji ya watanzania.

Sasa kama kafanya yote hayo why kila siku slogan yenu anatosha? Yes anatosha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…