Rais Samia atuma Salamu za Rambirambi kufuatia vifo vya watu 15 ajali ya Gari mkoani Lindi. Atoa Maagizo

Rais Samia atuma Salamu za Rambirambi kufuatia vifo vya watu 15 ajali ya Gari mkoani Lindi. Atoa Maagizo

benzemah

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2014
Posts
1,533
Reaction score
3,187
Ameandika Rais Samia Suluhu kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii.

"Nawapa pole wafiwa waliopoteza ndugu, jamaa na marafiki katika ajali ya basi iliyotokea eneo la Mtama mkoani Lindi na kusababisha vifo vya watu 15. Mwenyezi Mungu awe faraja kwetu sote, awarehemu ndugu zetu hawa waliotutoka na kuwajalia majeruhi pona ya haraka. Tunapoelekea msimu wa mwisho wa mwaka, naviagiza vyombo vya ulinzi na usalama barabarani kuongeza usimamizi wa sheria na ukaguzi."

Screenshot 2023-11-27 at 12.20.40.png



Kuhusu ajali soma Basi Kampuni ya Baraka kutoka Newala - Dar lapata ajali na kusababisha vifo 14
 
Ameandika Rais Samia Suluhu kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii.

"Nawapa pole wafiwa waliopoteza ndugu, jamaa na marafiki katika ajali ya basi iliyotokea eneo la Mtama mkoani Lindi na kusababisha vifo vya watu 15. Mwenyezi Mungu awe faraja kwetu sote, awarehemu ndugu zetu hawa waliotutoka na kuwajalia majeruhi pona ya haraka. Tunapoelekea msimu wa mwisho wa mwaka, naviagiza vyombo vya ulinzi na usalama barabarani kuongeza usimamizi wa sheria na ukaguzi."

View attachment 2826596
Mama Samia zile chenji za brush ulizozibariki kwamba traffic wazipokee basi haya ndiyo matunda yake yameanza kuonekana...
 
Ameandika Rais Samia Suluhu kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii.

"Nawapa pole wafiwa waliopoteza ndugu, jamaa na marafiki katika ajali ya basi iliyotokea eneo la Mtama mkoani Lindi na kusababisha vifo vya watu 15. Mwenyezi Mungu awe faraja kwetu sote, awarehemu ndugu zetu hawa waliotutoka na kuwajalia majeruhi pona ya haraka. Tunapoelekea msimu wa mwisho wa mwaka, naviagiza vyombo vya ulinzi na usalama barabarani kuongeza usimamizi wa sheria na ukaguzi."

View attachment 2826596


Kuhusu ajali soma Basi Kampuni ya Baraka kutoka Newala - Dar lapata ajali na kusababisha vifo 14
Sababu au kiini cha ajali hii hasa ni nini??
 
Back
Top Bottom