Mama Samia zile chenji za brush ulizozibariki kwamba traffic wazipokee basi haya ndiyo matunda yake yameanza kuonekana...Ameandika Rais Samia Suluhu kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii.
"Nawapa pole wafiwa waliopoteza ndugu, jamaa na marafiki katika ajali ya basi iliyotokea eneo la Mtama mkoani Lindi na kusababisha vifo vya watu 15. Mwenyezi Mungu awe faraja kwetu sote, awarehemu ndugu zetu hawa waliotutoka na kuwajalia majeruhi pona ya haraka. Tunapoelekea msimu wa mwisho wa mwaka, naviagiza vyombo vya ulinzi na usalama barabarani kuongeza usimamizi wa sheria na ukaguzi."
View attachment 2826596
Duuuhh, Ilikuwaje hadi ikawa hivi..?Rest in peace kwa marehem wote
View attachment 2826610
Sio picha halisi ni picha ya akili bandiaDuuuhh, Ilikuwaje hadi ikawa hivi..?
Ndio maana nimeshindwa kuinyumbua aisee.Sio picha halisi ni picha ya akili bandia
Mbona kama resident evil? alitengeneza hii graphic yuko na fedha mkononRest in peace kwa marehem wote
View attachment 2826610
Very easy nimeunda tu kupitia AI naona soko la graphics designer linaishiaMbona kama redident evil? alitengeneza hii graphic yuko na fedha mkonon
Huku mtaani wameanza kutukamua kwa kasi ya ajabunaviagiza vyombo vya ulinzi na usalama barabarani kuongeza usimamizi wa sheria na ukaguzi."
AI hiiRest in peace kwa marehem wote
View attachment 2826610
Sababu au kiini cha ajali hii hasa ni nini??Ameandika Rais Samia Suluhu kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii.
"Nawapa pole wafiwa waliopoteza ndugu, jamaa na marafiki katika ajali ya basi iliyotokea eneo la Mtama mkoani Lindi na kusababisha vifo vya watu 15. Mwenyezi Mungu awe faraja kwetu sote, awarehemu ndugu zetu hawa waliotutoka na kuwajalia majeruhi pona ya haraka. Tunapoelekea msimu wa mwisho wa mwaka, naviagiza vyombo vya ulinzi na usalama barabarani kuongeza usimamizi wa sheria na ukaguzi."
View attachment 2826596
Kuhusu ajali soma Basi Kampuni ya Baraka kutoka Newala - Dar lapata ajali na kusababisha vifo 14
100%AI hii
Akili Mnemba aka A.I.Rest in peace kwa marehem wote
View attachment 2826610
vip unaeza tengeneza hao character wawe mobile??Very easy nimeunda tu kupitia AI naona soko la graphics designer linaishia