Rais Samia atunukiwa Shahada ya Heshima ya Udaktari wa Falsafa, Korea, Juni 3, 2024

Rais Samia atunukiwa Shahada ya Heshima ya Udaktari wa Falsafa, Korea, Juni 3, 2024

Hizo degree wanazotunukiwa, huwa zinaongeza kipi kwenye maisha halisia?

Zinarahisisha ugumu wa maisha kwa watawaliwa na kuongeza ufanisi kwa watendaji?

Dr Matola PhD naomba mwongozo, mimi siyo msomi.
 
Naamini hata vyuo kama Havard au Yale kutoka Nchini Marekani pamoja na vile vya Oxford na Cambridge kutoka Uingereza vitakuwa vinakamilisha utaratibu wa kumualika Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi na kumpatia Udaktari wa heshima.hii ni kutokana na uongozi wake kuleta mageuzi chanya na kugusa maisha ya wengi.

Mfano Rais Samia kwa sasa ndio kinara katika kuhamasisha matumizi ya Nishati safi ya kupikia Ulimwenguni kwote..

Rais Samia ndiye kinara katika kumfungulia njia mtoto wa kike kupata Elimu na kutimiza ndoto zake kwa kumuondolea vikwazo mbalimbali vilivyokuwa vikikwamisha ndoto za mtoto wa kike kupata Elimu.

Ipo siku yaja Rais Samia Mama yetu Mpendwa atapokea tuzo ya Nobel pamoja na ile ya MO Ibrahim
Yani hapa nakusoma huku nabubujikwa na machozi ya furaha.

Vipi South Africa umesikia matokeo ya uchaguzi?

Inavyozikwa ANC ndivyo itakavyoteketezwa ccm very soon.
 
Hizo degree wanazotunukiwa, huwa zinaongeza kipi kwenye maisha halisia?

Zinarahisisha ugumu wa maisha kwa watawaliwa na kuongeza ufanisi kwa watendaji?

Dr Matola PhD naomba mwongozo, mimi siyo msomi.
Wameshajuwa weakness zetu na wao wanapita humohumo.
 
  • Thanks
Reactions: K11
"Eti nchi itapigwa mnada"...

We unaona ni kweli?

Binafsi naona ni wivu tu...

Watu wafupi wana wivu sana.
Hata mimi naona tuko sehemu salama kwa mustakabali wa Taifa na raslimali zake ziko salama na raia wanaolia lia wana wivu tu 🦍😭
 
Naamini hata vyuo kama Havard au Yale kutoka Nchini Marekani pamoja na vile vya Oxford na Cambridge kutoka Uingereza vitakuwa vinakamilisha utaratibu wa kumualika Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi na kumpatia Udaktari wa heshima.hii ni kutokana na uongozi wake kuleta mageuzi chanya na kugusa maisha ya wengi.

Mfano Rais Samia kwa sasa ndio kinara katika kuhamasisha matumizi ya Nishati safi ya kupikia Ulimwenguni kwote..

Rais Samia ndiye kinara katika kumfungulia njia mtoto wa kike kupata Elimu na kutimiza ndoto zake kwa kumuondolea vikwazo mbalimbali vilivyokuwa vikikwamisha ndoto za mtoto wa kike kupata Elimu.

Ipo siku yaja Rais Samia Mama yetu Mpendwa atapokea tuzo ya Nobel pamoja na ile ya MO Ibrahim
Aise

Ova
 
Chawa wa Magufuli yule, kifo cha Magufuli kimewatia wote wazimu waliodhani Magufuli ataishi milele.
Ni kweli...

Na kimsingi hata alichokiongea aliongozwa na wivu tu...

Maana wapi pameuzwa tangu aongee vile?

Waliozani Magufuli ataishi milele walikua wendawazimu maana chenye mwanzo hua na mwisho.
 
Hata mimi naona tuko sehemu salama kwa mustakabali wa Taifa na raslimali zake ziko salama na raia wanaolia lia wana wivu tu 🦍😭
Haswaa...

Ni wivu tu

Maana kama hadi watu weupe wanaona mchango wa raisi wetu ni lazima ana kitu...
 
Haswaa...

Ni wivu tu

Maana kama hadi watu weupe wanaona mchango wa raisi wetu ni lazima ana kitu...
Ana kitu kikubwa atafika mbali, kwa sasa kila raia anafurahia cake ya Taifa, hata mali za Taifa kama gas, misitu, madini, wanyama et al vyote viko salama.

Hebu tuwaambie wananchi waache wivu, huyu mama la mama atatufikisha mbali, hata akina Nakayokohama, Nakasaki, Nakayamaha wameliona hilo, sisi ni akina nani tusimuelewe?
 
Back
Top Bottom