Rais Samia atunukiwa Shahada ya Heshima ya Udaktari wa Falsafa, Korea, Juni 3, 2024

Rais Samia atunukiwa Shahada ya Heshima ya Udaktari wa Falsafa, Korea, Juni 3, 2024

Haswaa...

Ni wivu tu

Maana kama hadi watu weupe wanaona mchango wa raisi wetu ni lazima ana kitu...
1717401200560.png

Hivi weupe ni bora kuliko weusi
 
Mbona Tale Kapewa? 🐼

Kwenye kijiwe cha kahawa agiza round ya ghahawa na kashata Utasifiwa hadi Ujikinai 😂😂😂
 
Hizi PhD za mfululilizo zinanipa alarm juu ya rasilimali za Tanzania.
India wametoa PhD majuzi tu wamepewa gati nambari 2.
Sasa sijui JMT au DP ndio waliowapa tenda.
Korea nao wameona mpenyo.
Acha ujinga. Wameona mama ameboresha kila kitu kilichoharibiwa na lile joka jpm. Nakuhakikishia jpm angekuwa rais mpaka leo nchi imeshapinduliwa siku nyingi au vikundi vya kigaidi vingekuwa vingi. Mama kaleta furaha. Sasa hivi vyombo vya habari vinaandika chochote na wameajiri watu kibao ambao walikuwa mtaani mfano tanzania daima imeajiri wati zaidi ya elfu 50 ambao bila samia wangekuwa wameshakufa nk
 
Kuna mtu alipewa mpaka uprofesa wa kilimo kwahiyo mwacheni mama apewe usomi wa heshima. Tuna rasilimali za kutosha hata tukiwapa wageni haiwezi kuisha.

Kwanza ardhi ni yetu wasiwasi wetu nini, usalama na jeshi la wananchi wangeona yanayofanywa na viongozi wetu yana madhara kwa taifa lazima wangezuia ugawiwaji holela wa mali zetu tulizopewa na mwenyezi Mungu lakini kwa kuwa na wao wanapata chochote mama anaporudi kutoka kuheshimishwa wanaunyuti.

Tuna taifa la majuha kuanzia juu mpaka chini yaani tumekuwa sijui mamtu ya namna gani hatuna wazalendo kabisa kwa taifa hata waliopo hatuwaungi mkono. Usalama fanyeni kazi yenu kikamilifu siyo kukomaa na wakosoaji wa serikali na mama anayeuza kila rasilimali.
 
Back
Top Bottom