min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Ni kwel naona na kipindi hiki vijana wanatembea na maburungutu ya pesa mafungu ya elfu kumi kumi, kwenye mitandao kweli inchi imefunguka😁😁Kama hivyo mituzo inatiritika tu. 🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kwel naona na kipindi hiki vijana wanatembea na maburungutu ya pesa mafungu ya elfu kumi kumi, kwenye mitandao kweli inchi imefunguka😁😁Kama hivyo mituzo inatiritika tu. 🤣🤣
Korea kwenye service na maintenance ya ndege wapo vizuri sana,ndege nyingi sana wanapeleka service koreaHicho chuo hakijui kuwa ndege zetu pamoja na ATCL zimeitia hasara serikali na kuharibu kodi za watanganyika .
Ndiyo sababu nchi za ulaya zilikubaliana kuanzia mwezi huu nchi zote za ulaya iwe marufuku kutumia kuni na mkaa nchini mwao.Naamini hata vyuo kama Havard au Yale kutoka Nchini Marekani pamoja na vile vya Oxford na Cambridge kutoka Uingereza vitakuwa vinakamilisha utaratibu wa kumualika Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi na kumpatia Udaktari wa heshima.hii ni kutokana na uongozi wake kuleta mageuzi chanya na kugusa maisha ya wengi.
Mfano Rais Samia kwa sasa ndio kinara katika kuhamasisha matumizi ya Nishati safi ya kupikia Ulimwenguni kwote..
Rais Samia ndiye kinara katika kumfungulia njia mtoto wa kike kupata Elimu na kutimiza ndoto zake kwa kumuondolea vikwazo mbalimbali vilivyokuwa vikikwamisha ndoto za mtoto wa kike kupata Elimu.
Ipo siku yaja Rais Samia Mama yetu Mpendwa atapokea tuzo ya Nobel pamoja na ile ya MO Ibrahim
Kilazaa!HUYU MAMA NAPENDA SANA UTULIVU WAKE
NI MAKINI AJABU
Nyerere,Mugabe na Mandela walitunukiwa nyingi sana,Je mabeberu walikuwa wanakula Mali zenu?
Bado hujasema Hadi useme ,Go profesa Samia go 🤣😂👇👇
View: https://www.instagram.com/p/C7vwk-ftLw-/?igsh=bzBubjMydjVocTIx
Mambo ya hovyo mnoMkwere naye alipewa nyingi akagawa gas
PhD ya ujingaTumekwenda Korea kuomba!
Eti wanatupiga na U-Dr hii sio dharau kweli?
Tunapewa U-Dr wa kuombaomba au?
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akitunukiwa Shahada ya Heshima ya Udaktari wa Falsafa kutoka Chuo Kikuu cha Anga cha Korea (KAU) leo tarehe 03 Juni, 2024.
View: https://www.youtube.com/watch?v=3MuZRVjIipc
===
View attachment 3007278
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan akitunukiwa Udaktari wa Falsafa wa Heshima (Honoris Causa) kwenye Sekta ya Anga na Rais wa Chuo Kikuu cha Sayansi ya Anga (Korean Aerospace University) Hee Young Hurr, Jijini Seoul, Jamhuri ya Korea.
View attachment 3007279
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akitunukiwa Udaktari wa Falsafa wa Heshima (Honoris Causa) kwenye Sekta ya Anga na Rais wa Chuo Kikuu cha Sayansi ya Anga (Korean Aerospace University) Hee Young Hurr wa kwanza kulia, Jijini Seoul, Jamhuri ya Korea
Katika mtu anatutia aibu Mbeya ni huyo dogo.Ila Hawezi onja uteuzi sababu hana facts yeye ni kububujikwa tuu na machozi.Kama namuona vile yule dogo Lucas Mwashambwa namna anavyo bubujikwa na machozi ya furaha huko Mbozi aliko, baada ya mama yake kuitetemesha Korea, huku akikata kiu ya Wakorea wote kwa ujio wake.
Oxford na Havard wanaheshimu sana vyuo vyao sio kama hizo takataka.Naamini hata vyuo kama Havard au Yale kutoka Nchini Marekani pamoja na vile vya Oxford na Cambridge kutoka Uingereza vitakuwa vinakamilisha utaratibu wa kumualika Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi na kumpatia Udaktari wa heshima.hii ni kutokana na uongozi wake kuleta mageuzi chanya na kugusa maisha ya wengi.
Mfano Rais Samia kwa sasa ndio kinara katika kuhamasisha matumizi ya Nishati safi ya kupikia Ulimwenguni kwote..
Rais Samia ndiye kinara katika kumfungulia njia mtoto wa kike kupata Elimu na kutimiza ndoto zake kwa kumuondolea vikwazo mbalimbali vilivyokuwa vikikwamisha ndoto za mtoto wa kike kupata Elimu.
Ipo siku yaja Rais Samia Mama yetu Mpendwa atapokea tuzo ya Nobel pamoja na ile ya MO Ibrahim
Dharau ya nini? Mkopo sio msaadaTumekwenda Korea kuomba!
Eti wanatupiga na U-Dr hii sio dharau kweli?
Tunapewa U-Dr wa kuombaomba au?
Huna hoja wewe nyumbu