Rais Samia atunukiwa Shahada ya Heshima ya Udaktari wa Falsafa, Korea, Juni 3, 2024

Wazungu walishajua, viongozi wa Afrika hasa wenye upeo mdogo wanapenda sifa, wanawajazia sifa, degree za kutosha kisha wanawasainisha mikataba ya zaidi ya Mangungo.
 
Hicho chuo hakijui kuwa ndege zetu pamoja na ATCL zimeitia hasara serikali na kuharibu kodi za watanganyika .
Korea kwenye service na maintenance ya ndege wapo vizuri sana,ndege nyingi sana wanapeleka service korea
 
Ndiyo sababu nchi za ulaya zilikubaliana kuanzia mwezi huu nchi zote za ulaya iwe marufuku kutumia kuni na mkaa nchini mwao.
 
This is how wanaficha uovu na kutupumbaza of how wanaenda ku exploit rasirimali zetu. Waafrika twa angamia kwa kukosa maarifa
 
PhD Ya tatu hii 😀
 
Kama namuona vile yule dogo Lucas Mwashambwa namna anavyo bubujikwa na machozi ya furaha huko Mbozi aliko, baada ya mama yake kuitetemesha Korea, huku akikata kiu ya Wakorea wote kwa ujio wake.
Katika mtu anatutia aibu Mbeya ni huyo dogo.Ila Hawezi onja uteuzi sababu hana facts yeye ni kububujikwa tuu na machozi.
 
Oxford na Havard wanaheshimu sana vyuo vyao sio kama hizo takataka.
 
An honorary doctorate in the aviation sector because he spent more time in the air than he spent in the office/on the ground? Makes sense.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…