Rais Samia aunda Wizara Mpya na kufanya Mabadiliko ya kimuundo baadhi ya Wizara. Amteua Profesa Kitila Mkumbo kuwa Waziri

Prof mkumbo siku ya kupitisha mkataba bungeni, akivyopiga debee, haya huku nje kila leo kusifia, kumbe alikua anataka ulajiii.

Woiiiiiiiih, ni tengua na teuaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kaziii ipoo
 
Mungu Ibariki Jamhuri ya Watu wa Kenya
 
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Prof. Kitila Mkumbo kuwa Waziri. Aidha amefanya mabadiliko madogo ya miundo katika baadhi ya Wizara.
View attachment 2679459
Kila siku anapanua kiasi cha kushangaa fedha za kuwalipa hawa walaji zitatoka wapi au ni toka Dubai? Tanzania has gone to the dogs after the death of Magufuli so to speak. Inauma sina mfano
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…