Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
huyu mama hua namwombea kila asubui,anachapa kazi si mchezo niko nae begakwabega
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tuko nae begakwabegaUVCCM mbona hawateuliwi!
Ni wale wale wazee!!!
Bado Wizara OR masuala mtambuka ya Dini-Waziri atakuwa Sheikh Said Mwaipopo!Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Prof. Kitila Mkumbo kuwa Waziri. Aidha amefanya mabadiliko madogo ya miundo katika baadhi ya Wizara.
View attachment 2679459
Tumesha wazoea Dr Samia atabaki kuwa Rais wetu 2030Negativitu gani? Huyo ndio kazi anaweza
Hapo kapooza kimtindo baada ya uteuzi wa majuzi kusemwa!Huu udini kabisa haiwezekani wote dini moja
Yule ni mtaalamu wa Sociology!Hii ni hatari sana mkuu, bora angepelekwa elimu maana nadhani ndiyo eneo lake la ubobevu mipango ilitakiwa walau waziri awe na abc kuhusu uchumi labda Prof alisomea nisimkosee
Wewe umesomea umbea?Prof. Mkumbo alisomea mambo ya uchumi au ndiyo Mafuru atamsaidia?
Si mwanamke mwezenu huyo au 😂😂😂M hata sifatilii hz mambo tena. Ntakasirika halaf hamna cha kufanya
Mungu Ibariki Jamhuri ya Watu wa KenyaKatiba haisemi serikali itakuwa na wizara ngapi, mawaziri wangapi, manaibu mawaziri na makatibu wakuu ?
Nchi jirani katiba inatamka idadi za wizara na viongozi wakiwemo mawaziri watakuwa wangapi
3 Jul 2023
MAHAKAMA YA JUU Kenya: Makatibu (mawaziri) 50 wa rais wamewekwa kinyume cha Katiba na sheria
Majaji walisema nafasi za CASs 50 walioteuliwa na Rais Ruto ni kinyume cha katiba na hivyo hawafai kuchukua nyadhifa hizo
Uamuzi wa Mahakama ya Juu sasa unatoa pigo kubwa kwa Rais William Ruto, ambaye alikuwa amejiwekea nafasi hiyo kuwatuza wafuasi wake. Picha: Reuters
Mahakama Kuu katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi, imetangaza nyadhifa 50 za juu za mawaziri kuwa ni kinyume cha sheria.
Katika uamuzi wao wa Jumatatu, majaji Hedwig Ong’udi, Aleem Visram na Kanyi Kimondo walisema Makatibu Wakuu 50 wa Utawala (CASs), ambao waliteuliwa na Rais William Ruto mnamo Machi, hawafai kushika nyadhifa zao.
CASs ni sawa na makatibu wasaidizi, nafasi ambayo ilitupiliwa mbali baada ya Kenya kupitisha Katiba ya 2010.
Benchi la majaji watatu lilisema "hawafikirii ilikuwa nia ya waundaji wa katiba kuwa na CASs 50 naibu waziri 22."
Majaji hao walisema kwamba mtendaji huyo hakushiriki ipasavyo na umma kabla ya kuchagua nyadhifa 50 za CAS.
Zawadi ya walioshindwa kwenye uchaguzi
Ruto alikuwa amewateua wanasiasa kadhaa kwa nyadhifa za CAS, wengi wao wakiwa walioshindwa katika Uchaguzi Mkuu wa Agosti 9, 2022.
Gavana mkuu wa Nairobi, Evans Kidero, na mwanamuziki aliyegeuka kuwa mwanasiasa Charles Njagua, ambaye jina lake la kisanii ni Jaguar, walikuwa miongoni mwa waliochaguliwa kuhudumu kama CAS.
Nafasi ya CAS iliundwa kwa mara ya kwanza na mtangulizi wa Ruto, Uhuru Kenyatta, mnamo Januari 2018.
Serikali iliyojaa
Akihalalisha kuundwa kwa nafasi hiyo mpya, Kenyatta alisema wasimamizi wa ofisi husika "watasaidia makatibu wa baraza la mawaziri kuendesha hati mbalimbali."
Rais huyo wa zamani alikuwa na takriban CAS 30, huku Ruto, ambaye aliingia madarakani Septemba 2022, aliongeza idadi hiyo hadi 50, na kusababisha mahakama kuchangamka.
Kama CASs zingeshika nyadhifa chini ya utawala wa Ruto, zingegharimu Wakenya jumla ya Ksh460 milioni ($3.3 milioni) katika mishahara ya jumla kila mwaka
Tuna wabunge 395 mkuutuna wabunge 200 na chenji
Kila siku anapanua kiasi cha kushangaa fedha za kuwalipa hawa walaji zitatoka wapi au ni toka Dubai? Tanzania has gone to the dogs after the death of Magufuli so to speak. Inauma sina mfanoRais Samia Suluhu Hassan amemteua Prof. Kitila Mkumbo kuwa Waziri. Aidha amefanya mabadiliko madogo ya miundo katika baadhi ya Wizara.
View attachment 2679459
Ni kwelitangu akiwa CDM Kitila ni mtu wa mipango mipango sana, hadi wamemuundia Wizara yake 😂