Rais Samia aunda Wizara Mpya na kufanya Mabadiliko ya kimuundo baadhi ya Wizara. Amteua Profesa Kitila Mkumbo kuwa Waziri

Naona anajiwekea wingo. Wengi wa walioteuliwa walikuwa kwenye hizo wizara, na hapakuwepo na ufanisi. Sasa anapotenga wizara moja na kuzifanya kuwa mbili, huu ni mzingo anawaongezea wananchi na matumizi mabaya ya kodi za wananchi.
Samia kafika mwisho wa utawala wake,ana jipya sema kinachombeba ni unafiki wa viongozi wa vyombo vya Usalama.Walipaswa wawe wamemwambia apumzike!
 
Lile povu la kitila kutetea DP world limelipa kwa hakika
 
Hivi kuzigawa wizara tena ndio suluhisho la matatizo? Ndio kutaondoa kelele zilizopo sasa? Tumetoka huko kwenye mawizara mengi, tunarudi tena? What is happening? Mbona kila move ni ya kubomoa na si kujenga?
Kwa mujibu wa Bi mchele hapo ndo ametumia akili mpaka mwisho ,Mbona tutakoma mwaka huu jamaani
 
Kwa herufi kubwa, rais na mamlaka inayohusika kumshauri rais Samia wamekosea sana kumpatia wizara Prof. Kitila, kitaaluma ni Mwl tena wa education ambayo haihusiani kabisa na mipango. Kosa la pili ni ndugu Lawrence Mafuru, huyu ndiyo kabisa mtu wa mambo ya fedha hana utalaamu wa mipango. Nafasi ya Mafuru alipaswa kupewa Dkt Mursali
Milanzi a genius na msomi mbobevu kwenye mipango. Wizara ya Mipango alipaswa kupewa Dkt Kimei, mtendaji mkuu Dkt Mursali Milanzi. Nina uhakika hiyo team aliyoweka Dkt Samia ya walioshindwa enzi za Dkt Kikwete ni shimo la kumdidimiza sana rais Samia na utendaji wake. Hasa akina Mafuru, Msechu alipaswa kuwaweka pembeni au angewafanya kuwa washauri wake lakini siyo kuwa sehemu ya serikali kwa sababu capable na wenye weledi ni wengi mno. Yetu macho ila very soon akisikia ushauri wa watanzania hao vibaraka na wafia tumbo awatoe. Hata wizara ya Fedha Mwigulu ni muongo na hafai maana kasababisha Rais Samia apungukiwe na kura kibao kwa sababh ya uelewa mdogo wa Dkt Mwigulu kuhusu maisha ya watanzania zaidi ya kuwataka wahamie burundi
 
Ulivyandikwa huu waraka, ni kama mtu anakimbizwa na Simba.
Maana imeandikwa Lilongwe (Nchi ?), 05 julai, 2023........ Hivi Rais yupo Lilongwe....(nchi?) ?
 
Na sisi Tanzania ni wakati sasa wa kuwa na katiba mpya nzuri inayounda taasisi imara, mathalani mahaama zenye mamlaka kamili za kumdhibiti huyu mungu - mtu mpangaji wa ikulu yetu aitwaye "Rais" kama ilivyo hivi huko Kenya...!
 
Nchi zingine Rais haundi wizara bila Bunge kujadili na kupitisha...
Binafsi hakuna kitu kinanikera kama shule kuzipeleka wizara ya Tamisemi...
Yaani kuna wizara ya elimu ina dili na shule na bado tuna wizara ya Tamisemi ina dili na shule
Hili suala ndo linachangia Elimu yetu kuporomokaa, hivi shule inapelekwa Tamisemi kwa kipii?? Kwann wasiachee kwa wizara ya Elimu?

Kingine mambo ya Ajira, kwann wizara ya Tamisemi inahusika, huku wizara ya Ajira ipo na haifanyii kazi suala LA Ajira??nn maana yake??
 
Doing what she does best, being incompetent and predictable.

Kuongeza gharama za serikali kwa kuweka uoza ule ule.

Anyways wakati wake huu.
Haki yako kusema usitukane tu,wakati wa bwana wko magufuli usingethubutu kusema hivyo sote tuliufyata ukimsema unapotea kama alivyopotea Ben saanane alipohoji doctorate yake au kama alipopigwa marisasi tundu lissu baada ya kukosoa kuhusu makanika kw hivyo endeleeni tu kukosoa kila kitu akeshaondoka mtamkumbuka .
 
Ulivyandikwa huu waraka, ni kama mtu anakimbizwa na Simba.
Maana imeandikwa Lilongwe (Nchi ?), 05 julai, 2023........ Hivi Rais yupo Lilongwe....(nchi?) ?
Polee
 
Kuongeza mzigo wa kuendesha serikali, na kumonopolise manouver za kuuza nchi
 
Mama Yetu anatapa tapa tu, hajui hata anafanya nini, reaction ya watanzania dhidi ya mkataba wa bandari imemvuruga kabisa, ni kama vile haamini macho yake.
 
"Kitufe cha kubonyeza" Kiko wapi ligi kuu inaanza nataka kuangalia mechi!!!
 
SAFI SANA NA HONGERA RAIS WETU, ITAONGEZA UWAJIBIKAJI MAKINI, NGOJA TUENDELEE KUSEMA MESEJI ZA WENYE WIVU NA KUWASHWAWASHWA HAPA KWENYE UZI.
 
Nilijua tu. Kwa kelele zile za Mkumbo kwenye azimio la Bandari, anatafuta ulaji.
True. Kitila kazawadiwa kwa ajili ya Utetezi wake kwenye Bandari. Kitendo o cha yeye kuwa mchangiaji wa kwanza Bungeni kwenye issue ya bandari tayari ilionyesha mwelekeo.
 
Tusi liko wapi hapo??

Usiweke dhana ya kuwa kwako mseng* (kuingiliwa kinyume na maumbile) kunafanya na wengine wote kuwa kama wewe. Sijui Magufuli ambaye ni marehemu sasa anaingiaje hapa ila hajawahi kuwa bwana wangu sababu mimi ni mwanaume rijali nisiejihusisha na mapenzi ya jinsia moja kama ilivyo kwako.

Ikiwa unatambua ni haki yangu kusema iweje uhoji haki hiyo kwa shutma zisikuwa na mashiko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…