Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alitoka sana povu jeupe mdomoni ilikuwa aibu sana kwa mtu anayejielewa.Nilijua tu. Kwa kelele zile za Mkumbo kwenye azimio la Bandari, anatafuta ulaji.
Haswaa, ndicho kilichobaki kwa sasa ni Kushukuru tu kwa taarifa. Hata tukitoa maoni, anayepaswa kusikiliza keshasema ameziba masikio!Tunashukuru kwa taarifa. Maana ndicho kilichobakia kwa sasa. Hakuna kingine.
OkHama nchi
Kijaji ni dini tofautiHuu udini kabisa haiwezekani wote dini moja
Uvccm imejaa watumwa wa waarabuUVCCM mbona hawateuliwi!
Ni wale wale wazee!!!
Na kalipwa kweliNilijua tu. Kwa kelele zile za Mkumbo kwenye azimio la Bandari, anatafuta ulaji.
Wagalatia Wana chuki mnooHapa huwaoni wagalatia kupiga kelele .
UChoyo tu na roho mbayaHapa huwaoni wagalatia kupiga kelele .
Ikiwa mteuaji mwenyewe kaunga unga elimu unadhani atajali kama anaowateua wana elimu inayohitajika au la.Prof. Mkumbo alisomea mambo ya uchumi au ndiyo Mafuru atamsaidia?
kumbe ikulu ipo kwa ajili yenu wagalatia sio. ?Watanzania wamapaswa kujifunza kitu hasa kuweka hawa Waswahili Ikulu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haswaa, ndicho kilichobaki kwa sasa ni Kushukuru tu kwa taarifa. Hata tukitoa maoni, anayepaswa kusikiliza keshasema ameziba masikio!
Nahisi huwa anatuwekea hata taarab huko ikulu sema tu hatujui!
Na imetimiaNilijua tu. Kwa kelele zile za Mkumbo kwenye azimio la Bandari, anatafuta ulaji.