Rais Samia aunda Wizara Mpya na kufanya Mabadiliko ya kimuundo baadhi ya Wizara. Amteua Profesa Kitila Mkumbo kuwa Waziri

Rais Samia aunda Wizara Mpya na kufanya Mabadiliko ya kimuundo baadhi ya Wizara. Amteua Profesa Kitila Mkumbo kuwa Waziri

Naomba mwenye Majibu ya swali langu anisaidie, maana kwa akili yangu ndogo nimeshindwa kupata majibu, nina maanisha sababu hasa zilizomsukuma Rais kumteua huyu jamaa kwenye Uwaziri.

Angalizo: Sitaki atukanwe au adhalilishwe, nimeuliza hili kwa Maslahi Mapana ya Taifa

Naomba kuwasilisha.
Kwani huko chadema alikua na cheo gani vile!
 
Naomba mwenye Majibu ya swali langu anisaidie, maana kwa akili yangu ndogo nimeshindwa kupata majibu, nina maanisha sababu hasa zilizomsukuma Rais kumteua huyu jamaa kwenye Uwaziri.

Angalizo: Sitaki atukanwe au adhalilishwe, nimeuliza hili kwa Maslahi Mapana ya Taifa

Naomba kuwasilisha.
Umechelewa jamvini karamu imeshaliwa.
 
Kitila ama uwezo mkubwa. Shida ni hiyo njaa yake inayomfanya awe chawa. Ila uwezo anao
Nakubaliana na wewe Kwa asilimia 100, the guy is so smart upstairs ila tunachotakiwa kujua ni kwamba ukishaingia kwenye Ulaji wa Nchi (CCM) lazima uanze kuwaza na kufikiria kama wao.

That's huge mistake the system is doing 🥲🙌
 
Labda ungelitaja mapungufu then tokatoa feelings, reasoned ones tuweke nondo hapa.

All in all, ka title ka Uprofesa kanambeba na kujikomba kwingi. Profesa toka jalalani (as per Kabudi)
Uprofesa sio title ka,kama ni simple kawe profesa , Tanzania hii maprofesa walio active hawafiki hata 90 unaita ka,be serious
 
Naomba mwenye Majibu ya swali langu anisaidie, maana kwa akili yangu ndogo nimeshindwa kupata majibu, nina maanisha sababu hasa zilizomsukuma Rais kumteua huyu jamaa kwenye Uwaziri.

Angalizo: Sitaki atukanwe au adhalilishwe, nimeuliza hili kwa Maslahi Mapana ya Taifa

Naomba kuwasilisha.
Majungu, mdomo mrefu na kuwa na uwezo wa kuondoa akili za uprofesa kichwani na kuziweka pembeni kwa kusifia kisichokuwepo kwa macho makavu mchana kweupe bila uficho ndio kigezo namba moja katika jamhuri ya kusadikika.
 
Naomba mwenye Majibu ya swali langu anisaidie, maana kwa akili yangu ndogo nimeshindwa kupata majibu, nina maanisha sababu hasa zilizomsukuma Rais kumteua huyu jamaa kwenye Uwaziri.

Angalizo: Sitaki atukanwe au adhalilishwe, nimeuliza hili kwa Maslahi Mapana ya Taifa

Naomba kuwasilisha.
Aliteuliwa kwa sababu alitoka Chadema akiwa na akili timamu, shida ilianza alipochanganywa na magarasa ya CCM.
 
Naomba mwenye Majibu ya swali langu anisaidie, maana kwa akili yangu ndogo nimeshindwa kupata majibu, nina maanisha sababu hasa zilizomsukuma Rais kumteua huyu jamaa kwenye Uwaziri.

Angalizo: Sitaki atukanwe au adhalilishwe, nimeuliza hili kwa Maslahi Mapana ya Taifa

Naomba kuwasilisha.
Kwa kujibu swali lako, nami nitauliza swali:
Hivi watu kama akina Lucas Mshambwa wanakosakosaje teuzi?

Mmoja anajulikana kama Profesa, anayejuwa kujenga hoja za kutafutia kitumbua, mwingine siku nzima hushinda JF akisifu majozi ya waTanzania yanayomtiririkia Samia kwa furaha. Wote hawa wawili na wengine wengi ni "machawa" tu.

Sasa hivi utauliza maswali kama ulivyouliza hapo juu kumhusu Kitila, lakini inawezekana kabisa maswali kama hilo ukawa ulishajiuliza kuhusu wengi wengine; kwa mfano, akina Kabuti Kalamaganda. Kwani kuna tofauti gani kati ya hao wawili; watu ambao wanatumia elimu yao kama malaya hivi.

Bado hujauliza maswali kama hayo kumhusu David Kafulila?
Nilisema wapo wengi sana wa namna hiyo.
 
Nakubaliana na wewe Kwa asilimia 100, the guy is so smart upstairs ila tunachotakiwa kujua ni kwamba ukishaingia kwenye Ulaji wa Nchi (CCM) lazima uanze kuwaza na kufikiria kama wao.

That's huge mistake the system is doing 🥲🙌
100%
 
Kitila ama uwezo mkubwa. Shida ni hiyo njaa yake inayomfanya awe chawa. Ila uwezo anao
Kitila hana uwezo wowote . Ni Nape aliyechangamka. Kitila ni chawa mzoefu. Huyu jamaa hana uwezo Ila ni chawa, wa uhakika. Anaweza kupenya sehemu yeyote kwa kutumia u chawa. Kwa waliosoma nae Mwenge sec, Singida 1988-1991 na pia Pugu high school 1992 -1994 ,wanasema jamaa , ni kilaza sana darasani, na kwamba hakuwahi kupata div one au two, iwe O level au A level. Akifaulu sana div three. Ingawa alipata div three pale Pugu, katika combination ya PCB alipenya na kuingia UD. Pale UD hakuwa na GPA ya kuwa, lecturer lakin alipenya na kuwa, lecturer. Jamaa alifanya PhD ya masturbation pale UK. Na amepenya na kuwa wazir wa uwekezaji.
 
Naomba mwenye Majibu ya swali langu anisaidie, maana kwa akili yangu ndogo nimeshindwa kupata majibu, nina maanisha sababu hasa zilizomsukuma Rais kumteua huyu jamaa kwenye Uwaziri.

Angalizo: Sitaki atukanwe au adhalilishwe, nimeuliza hili kwa Maslahi Mapana ya Taifa

Naomba kuwasilisha.
Kwa nini unashindwa kupata majibu?
 
Kwanza mpe heshima yake profesa, maana kusoma sio jambo la mchezo .Kisha tutaendelea na mengine
Hii hadhi ya u-'profesa' Tanzania haina maana yoyote. Weka machapisho na kazi zake hapa zilizompa huo u-profesa tuyaone kabla ya kudai "heshima".
 
Nimeona ni vema nishirikishe umati
Kwa nini unashindwa kupata majibu?

Nilitegemea uniambie sifa za mtu kuwa waziri ni hizi na hizi, Kitila hana, sijaelewa kateuliwa vipi.

Mfano, sifa za kuwa Waziri ni kuwa Mbunge, Kitila si Mbunge, sijaelewa kateuliwa vipi kuwa Waziri?

Hapo ungeeleweka.

Sasa hivi hueleweki huelewi nini.
 
Kwa nini unashindwa kupata majibu?

Nilitegemea uniambie sifa za mtu kuwa waziri ni hizi na hizi, Kitila hana, sijaelewa kateuliwa vipi.

Mfano, sifa za kuwa Waziri ni kuwa Mbunge, Kitila si Mbunge, sijaelewa kateuliwa vipi kuwa Waziri?

Hapo ungeeleweka.

Sasa hivi hueleweki huelewi nini.
Najua unachokitaka lakini sitasema kwa sababu za kimaadili
 
Back
Top Bottom