Rais Samia avunja Bodi ya TRC, atengua uteuzi wa Wakala wa Ndege za Serikali. Aagiza wabadhirifu washughulikiwe

Rais Samia avunja Bodi ya TRC, atengua uteuzi wa Wakala wa Ndege za Serikali. Aagiza wabadhirifu washughulikiwe

Katika serikali makatibu wakuu ndio watendaji wakuu wa wizara, in short mawazir wao ni walezi au wasimamizi lakin sio wataalam kitaaluma katika wizara zao, mikataba yote kabla haijasainiwa na wizara husik lazm ipite kwanza, kwanza kwanza kwa hao makatibu wakuu, , hivo wawajibishwe kwanza na kama kuna namn walishirikiana na mawaziri wao bhas nao pia watafata
Mawaziri wanasimamia nini? uzembe ukitokea kwenye wizara zao kwanini wasihusike?

Sioni cha maana alichofanya Rais hapo, ni sawa na ameruka hatua mbili akaenda kuagiza adhabu kwa mtu wa tatu, nashangaa kwanini hamuoni hili?!
 
Mbuzi wa Kafala wamechacha . Ametafutwa sungura wa kafala Haaa.

Akina Mashimba Ndaki mbuzi wa kafala, Kabudi mbuzi wa Kafala, Lukuvi mbuzi wa kafala. Haaa.
January Makamba Mbuzi wa kufugwa hawezi chinjwa, Makame Mbarawa mbuzi wa kufugwa haitaiweje hawezi kuchinjwa, Napee je Vp kuhusu Ummy Mwalimu,

je kuna inawezekana MKRISTO akawa mbuzi wa kufugwa? haaa, et nani......... mataje
Hivi Nape dini gani
 
Tulishawaambia kuwa alikuwa anabweka tu kuwaita watu "STUPID" kwani hana ubavu wa kuwachukulia hatua stahiki!! Kuna fedha chungu nzima zimeibwa kwenye malipo ya bwawa la Nyerere lakini mama yuko kimyaa kwasababu ya mbuzi wake wa kufugwa!! Hizo hizo fedha ndio wamenunulia nyumba huko DUBAI lakini TISS wamefumba macho.
Huu uliofanyika leo ni muendelezo wa usanii tu, hii issue itaisha kimya kimya sioni yeyote mkubwa atakayechukuliwa hatua, hata hao wasaidizi nao wataachwa kimya kimya.
 
Taratibu za uongozi hazipo kama unavyodhani wewe mkuu, yule ni Rais sio Mfalme.
afrika haiend hivyo , wezi hawaibi kizembe hapo wataumia wasio husika maana wezi hupenda kuwatumia wenye njaa wao wapo nyuma hata wino wao haupo kweny makaratas , kuliko kuish na mwizi unaemjua bora uonekane mbabe tu ila nyumba inabaki salama

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
 
Hongera sana kwa mama aje na suala la kuthibiti mfumuko wa coz kwa ambao tunazunguka zunguka Nchi hii hali ya chakula ni mbaya mvua za kuvizia na mipaka na viulenyo vya tunduma,Sibwesa, Rukoma, Ilagala,Sunuka,Manyovu,Kbanga,Mtukula,Holili,Taveta,Namanga etc kote kupo free mazao na bidhaa mbalimbali zinaenda kwao ila wao wanatuletea pombe kali aka viroba na vitenge tu kwa kiasi kidogo.Mama achukue hatua tumpongeze CAG na PCCB kwa detection yao nzuri
 
Mkuu sikubalian na wewe kwenye hili.
Jambo hili bado lipo mikononi mwa Rais kwa kias kikubwa...soma vizur hapo.. amemwelekeza "Katibu Mkuu Kiongozi"...huu ndo utawala wa kisheria unavyotaka mkuu.
Mpaka Hapo hamna shaka Mkuu labda useme katibu Mkuu Kiongozi hajiwezi au labda kama na yeye ni mtuhumiwa.
Hii maana yake Rais haoni tatizo, anaelekeza kitu gani ambacho yeye hakioni?

Naona mnatumia kigezo cha "utaratibu na sheria" ili kuzubaisha watu, na kulindana tu, na bahati nzuri kwasababu nae hapendi kuhangaisha kichwa chake ...
 
Tumpe muda basi jamani....Na yeye si anaipitia kwa level yake? Kisha kama ambavyo hao watachukua hatua kwa wachini wao na yeye atachukua hatua kwa wale walio chini yake....Mimi naona Mh. Rais anachukua hatua kwakufuata sheria, kanuni na taratibu na ndiyo good governance hii....

Ameonyesha utulivu na anazingatia utawala wa sheria....
Sina imani nae.
 
Katika hatua nyingine, Mhe. Rais amemuelekeza Katibu Mkuu Kiongozi kuhakikisha kuwa Makatibu Wakuu na Watendaji Wakuu wote wa Taasisi za Serikali wanaipitia kwa kina tarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), kujibu na kuzifanyia kazi kwa haraka hoja zote zinazogusa maeneo yao.
Hiki ndio tunachokitaka bakora tunataka zipite humu tumeshakula Pasaka tunasubiri Eid El Fitri tukirudi Mama wachape hawa waliokwiba mabulungutu ya walipa Kodi pasinakua na huruma tena ungeanza na wale waliokwiba pamoja na yule mfanyabiashara feki pale BOT
 
Ungekuwa wewe ungefanyaje? Unazijua kazi na majukumu ya katibu mkuu kwenye wizard?
Duh watz wajuaji sana. Sasa hizi si ndio hatua zenyewe jamani ??? Mlitaka Whitwell wanyongwe bila hata kusikilizwa
huez iendesha Afrika hivyo , wajinga ni wengi sana , Kama kathibitisha kuwa kuna jambo halipo kwa akili za darasa la 7 tu inatosa kuanzia kwa wazir aliyemteua yeye kwanza then ndo aelekee chin , 40B sio ela ya kupigwa na makapuku

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
 
Inashangaza sana, kwanini Rais anawaagiza makatibu wakuu na watendaji wakuu wahakikishe wanapitia ripoti na kuwawajibisha wale waliohusika na uzembe?

Yeye kama Rais anachukua hatua gani kwa hao wakuu waliosimamia huo uzembe wakiwemo mawaziri?

Alichokifanya Rais hapo ni sawa na kufunika kombe mwanaharamu apite, sioni jipya.
rais anawashughulikia wateuzi tu, wengine ndo hivyo taratibu zingine zinafuatwa
 
Makatibu na Wakurugenzi wamepewa rungu wajikague na wawatoe wahusika
 
Mawaziri wanasimamia nini? uzembe ukitokea kwenye wizara zao kwanini wasihusike?

Sioni cha maana alichofanya Rais hapo, ni sawa na ameruka hatua mbili akaenda kuagiza adhabu kwa mtu wa tatu, nashangaa kwanini hamuoni hili?!
Ukweli ni kwamba SAmia kuna watu anawaogopa kuwagusa au ana wapenda sana…hivi kweli katibu akamuwajibishe wa chini yake wakati wa chini yake alipokea marlekezi kutoka kwake? Makatibu si ndio wasaini hii mikataba? Sasa watamuawajibisha nani na watajibu nini? Kwani rais asiseme wazi kuwa amewasamehe wite waliotenda makosa au aseme kuwa hana imani na report ya CAG?
 
For sure I wish I could be Mr President!!!

Mimi siishii kukufuta kazi, MIMI..

1 NAKUFUTA KAZI


2 NAKUFIRISI WEWE NA UKOO WAKO WOTE, NATAIFISHA MALI ZENU ZOTE.

3 NAKUFUNGA MIAKA 10, Hakuna msamaha wala rufaa
 
Back
Top Bottom