John Haramba
JF-Expert Member
- Feb 4, 2022
- 365
- 1,374
Safi sanaSerikali imeahidi neema kwa walimu huku ikiwataka waendelee kufanya kazi kwa moyo.
Ahadi hiyo imetolewa na Rais Samia Suluhu Hassan, leo Februari 7, 2022 wakati aliposimama wilayani Butiama kwa ajili ya kusalimia wakazi wa wilaya hiyo.
"Walimu hoyeee, walimu mpo eehh sasa naomba niwaambie walimu mambo mazuri yanakuja endeleeni kuchapa kazi tumewajengea madarasa mazuri sasa kazi kwenu" amesema bila kufaganua zaidi.
Rais Samia amewataka wakazi wa wilaya ya Butiama kufanya kazi kwa bidii ili kuweza kujiletea maendeleo huku akisema kuwa Serikali itaendela kushirikiana nao katika kuleta maendeleo.
Ndio mama sio vitisho Ila matumainiSafi sana
Mimi Kama mwalimu mzoefu Sina hofu kabisa na huyu rais wetu,Serikali imeahidi neema kwa walimu huku ikiwataka waendelee kufanya kazi kwa moyo.
Ahadi hiyo imetolewa na Rais Samia Suluhu Hassan, leo Februari 7, 2022 wakati aliposimama wilayani Butiama kwa ajili ya kusalimia wakazi wa wilaya hiyo.
"Walimu hoyeee, walimu mpo eehh sasa naomba niwaambie walimu mambo mazuri yanakuja endeleeni kuchapa kazi tumewajengea madarasa mazuri sasa kazi kwenu" amesema bila kufafanua zaidi.
Rais Samia amewataka wakazi wa wilaya ya Butiama kufanya kazi kwa bidii ili kuweza kujiletea maendeleo huku akisema kuwa Serikali itaendela kushirikiana nao katika kuleta maendeleo.
Aliyekuja na uzi jana kuwa walimu wamelipiwa madeni ya mikopo yao sio ww Kweli😠😠😠Mimi Kama mwalimu mzoefu Sina hofu kabisa na huyu rais wetu,
Kazi iendelee
Aliyekuja na uzi jana kuwa walimu wamelipiwa madeni ya mikopo yao sio ww Kweli[emoji34][emoji34][emoji34]
Hajafukuza mtu kazi leo?Serikali imeahidi neema kwa walimu huku ikiwataka waendelee kufanya kazi kwa moyo.
Ahadi hiyo imetolewa na Rais Samia Suluhu Hassan, leo Februari 7, 2022 wakati aliposimama wilayani Butiama kwa ajili ya kusalimia wakazi wa wilaya hiyo.
"Walimu hoyeee, walimu mpo eehh sasa naomba niwaambie walimu mambo mazuri yanakuja endeleeni kuchapa kazi tumewajengea madarasa mazuri sasa kazi kwenu" amesema bila kufafanua zaidi.
Rais Samia amewataka wakazi wa wilaya ya Butiama kufanya kazi kwa bidii ili kuweza kujiletea maendeleo huku akisema kuwa Serikali itaendela kushirikiana nao katika kuleta maendeleo.
Chawa mmeshalipiwa bando mnakunya sasaMimi Kama mwalimu mzoefu Sina hofu kabisa na huyu rais wetu,
Kazi iendelee
Kwenye Utawala Wangu Mimi, Maneno Matamumatamu SitayasemaMama anazidi kuupiga mwingi kwenye kupanga maneno matamu ya kiswahili.
Chawa Kama ChawaChawa mmeshalipiwa bando mnakunya sasa
Mimi ndiye,kulikoni mkuu?Aliyekuja na uzi jana kuwa walimu wamelipiwa madeni ya mikopo yao sio ww Kweli[emoji34][emoji34][emoji34]
Hiyo ni kweliAliyekuja na uzi jana kuwa walimu wamelipiwa madeni ya mikopo yao sio ww Kweli[emoji34][emoji34][emoji34]