Rais Samia awaambia walimu kuwa kuna mambo mazuri yanakuja

Rais Samia awaambia walimu kuwa kuna mambo mazuri yanakuja

Asisahau pia kuna kundi kubwa la wahitimu wa huo ualimu kutoka familia maskini, wanataabika tu mtaani kwa kukosa ajira.

Hivyo haina maana sana kuongeza tu idadi ya madarasa na wanafunzi, huku maelfu ya wahitimu wa hiyo fani ya ualimu wakiachwa mtaani bila ya kazi.
Wambie wajiajiri Kuna kuuza vocha, ice cream, kubeba zege nk
 
Yani bodi imeondolewa makato ya mwaka mzima, madeni ya benki pia yamepungua. Bodi jumlisha benki imeondolewa zaidi ya milioni 2....Mungu amlinde huyu mama.
Madeni ya bank yanapunguaje kwa mfano
 
Hongereni walimu, mama anapenda kila mtu afurahi, ningependa kuishauri serikali kutafuta balance kwenye intake za wanafunzi wanaochukua ualimu ,somo moja lisiwe na wanafunzi wengi kupita kiasi na somo lingine kuwa na wahitimu wachache kupita kiasi,, balance inahitajika
 
Madeni ya bank yanapunguaje kwa mfano
Hata sielewi Ila kwangu imepungua Kama laki 5 ukiangalia tofauti ya balance ya Dec na Januari....Ila nasikia benki zimeshusha riba, labda ndo na madeni yameathirika.
 
Back
Top Bottom