Dodoma leo
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 1,336
- 1,658
That is demotion... Au kwenda një ni promotion?Basically sio Demotion ni heavy promotion hiyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
That is demotion... Au kwenda një ni promotion?Basically sio Demotion ni heavy promotion hiyo
Mkuu nakuunga mkona salimia mia nane na tisini na tatuNasikia sauti za tausi kwa mbali kwenye clip hii. Vitu natamani kwa TISS ni ujasusi wa kiuchumi na mfumo mpya wa recruitment. Hayo mengine ni kazi za kawaida zinazofanywa kila siku
Hapana kiongozi,Mh Balozi Katanga kala demotion..ipo hivi Katibu Mkuu Kiongozi ndiye Muajiri wa Watumishi wote wa Umma,ikiwemo hao Mabalozi..lifanyie kazi hili,utaniambiaBasically sio Demotion ni heavy promotion hiyo
Hao ni tausi mkuu Wana sauti km ya nyauSio kejeli ila nilikuwa nasikiliza kwa umakini hizo sauti zikanitoa kwenye reli
Mama Gwajima anaupiga mwingi sana. Salute kwakeMsalimie mama doroth gwajimaView attachment 2468179
Kuna kitu tunatafutiwa kwenye huu muungano. Taratibu tutajua wapi tunaenda, tazama mgawanyiko wa fedha za mikopo na misaada kisha tazama nafasi za serikalini. Tulianza na Mohamed Mchengelwa akapachikwa nafasi haiwezi hata, baadae akapewa kazi ambayo ukifeli ile basi wewe uchapwe viboko.Akili kubwa sana, jumlisha na katiba mpya.
Huko lazma kuguswe hapata baki salamaatusafishie ma RSO sasa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya mabadiliko ya nafasi za viongozi Serikalini Ikulu jijini Dares Salaam, leo tarehe 03 Januari, 2023.
Amesema “Mtakumbuka kuwa Novemba 2022, Bunge la Tanzania lilikuwa na mjadala mzito kidogo kuhusu matumizi ya fedha na madaraka katika ofisi zetu za Kibalozi zilizopo Nchi mbalimbali, Serikali inafanyia kazi kasoro zilizoelezwa ili kurudisha hadhi ya balozi zetu.
“Nimefanya mabadili katika ofisi ya Ubalozi iliyopo New York, ambayo inakuwa na Mwakilishi wetu wa kudumu katika Umoja wa Mataifa.
“Ofisi hii ni muhimu kwa Nchi yetu kwa kuwa ndio inatuwakilisha katika mambo yanayojadiliwa na mataifa na taasisi za kimataifa zilizo chini ya Umoja wa Mataifa Mjini New York.
“Ofisi yetu hiyo inahitaji mwanadiplomasia mahiri anayejua siasa za kimataifa, mzalendo kwa nchi yake na mtulivu wa hekima na busara.
“Hivyo nimeamua kumrudisha nyumbani Prof. Kennedy Gaston aliyeko Ofisi ya New York na kumpeleka Hussein Othman Kattanga aliyekuwa Katibu Mkuu Kiongozi.
“Kattanga anaenda kuiwakilisha Tanzania kama Balozi wa Kudumu huko New York.
“Nafasi ya Katibu Mkuu Kiongozi itajazwa na DKT. Moses Mpogole Kusiluka aliyekuwa Katibu Mkuu Ikulu.
“Nafasi ya Katibu Mkuu Ikulu itajazwa na Diwani Athuman Msuya aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa (TISS)
“Nafasi ya Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa itajazwa na Said Hussein Massoro aliyekuwa Naibu Mkurugenzi Mkuu na Mkurugenzi wa Shughuli za ndani za TISS.”
Yote hayo ni kumpatia nafasi nyeti Mzanzibari, yana mwisho
Kwa hiyo Masilingi alishaondolewa ubalozi wa Tz Amerika?