Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Niko hapa kwa mjumbe nasubiri daku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hela iliyotumika ni kutoka katika mazao yake au ni nguvu ya wadanganyika.Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Jumatatu, Machi 3, 2025 amefuturisha watoto yatima na watoto wenye mahitaji Maalum, Ikulu jijini Dar es Salaam.
Pia, Rais Samia amepata fursa ya kuzungumza na watoto hao.
Chief Comforter wa mafisadi papa sio taifa.Samia the "chief comforter of our beloved nation...."
Njaa hutengeneza kura, wanaofuata kufuturishwa ni mashehe na maaskofu kisha wasanii.Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Jumatatu, Machi 3, 2025 amefuturisha watoto yatima na watoto wenye mahitaji Maalum, Ikulu jijini Dar es Salaam.
Pia, Rais Samia amepata fursa ya kuzungumza na watoto hao.
Samia the "chief comforter of our beloved nation....
Upendo wa futari! Umasikini ni aghari.....yaani Rais akutane na raia wake kwa upendo mkubwa huo asipigwe picha ?!!
Ninyi jamaa mnatumia vileo gani ?!! Ha ha ha ha
👏👍🤝🙏Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akifuturisha Watoto Yatima na Watoto wenye mahitaji Maalum, Ikulu Jijini Dar es Salaam, leo tarehe 3 Machi, 2025
Na kama sio yeye basi wanafanana sana!Huyo hapo pembeni ni Angela Kairuki au nimemfananisha?