Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 24,606
- 39,289
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amezungumza na Rais wa Baraza la Umoja wa Ulaya(EU), Charles Michel ambapo amemsifu Rais Samia kwa hatua anazochukua kukabiliana na #COVID19.
EU wamesema wako tayari kushirikiana na viwanda mbalimbali vinavyozalisha chanjo ya #COVID19 barani Afrika ikiwemo Tanzania ikiwa itahitaji msaada huo.
Rais Samia amemuhakikishia Rais wa EU kuwa atahakikisha uwepo wa demokrasia katika utawala wake, utawala bora na haki za msingi za binadamu.
EU wamesema wako tayari kushirikiana na viwanda mbalimbali vinavyozalisha chanjo ya #COVID19 barani Afrika ikiwemo Tanzania ikiwa itahitaji msaada huo.
Rais Samia amemuhakikishia Rais wa EU kuwa atahakikisha uwepo wa demokrasia katika utawala wake, utawala bora na haki za msingi za binadamu.


