Pre GE2025 Rais Samia awalipua watu kwa shangwe, nderemo na vifijo mitaani baada ya kuwahakikishia kuwepo Madarakani hadi 2030

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Watu wanaomsifia huyu mama ni wendawazimu na wanafanya hivo kwa malengo fulani, mtu mwenye akili timamu na anayejua jinsi hali ya maisha ilivyobadilika hawez kumwendekeza huyu raisi mnafiki.
Ndioo ila usimseme sana kafanya pale anapoweza kauza nchi yote kwa waarabu nasasa hivi tutatawaliwa kama zamani
 
Watu wanaomsifia huyu mama ni wendawazimu na wanafanya hivo kwa malengo fulani, mtu mwenye akili timamu na anayejua jinsi hali ya maisha ilivyobadilika hawez kumwendekeza huyu raisi mnafiki.
Wewe ndiye mnafiki mkubwa unayekalia umbea na uzushi badala ya kufanya kazi kwa bidii ili ujikwamue kimaisha.
 
Ndani ya CCM,chaguo ni Rais Samia na in fact Kwa kazi yake ndio chaguo la Watanzania.

Sasa uache kumchagua mtu aliye deliver uanze kuchagua Hadithi? Utakuwa na akili?
Dhambi na vilio vya wananchi havitawaacha salama mnaoshabikia ujinga watu hawana hata labarotory mtoto anapewa vitu hajui kusolve kweli akili zenu kamwombeni Mungi msamaha
 
Ila amesahau kutoa tamko la kuwakabidhi pikipiki alizowaahidi miaka 2 iliyopita
 
Bila shaka wewe ni kipofu wa akili na macho.hata ukielezwa vipi huwezi kuelewa maana umeshapofuka akili na macho yako.
Jishike shike tu kuna usemi usemao nisikilize kwa makini mtu wewe ashangalia uovu ni muovu na kila mtu atalipizwa kwa uovu wake .
 
Huyo Mama yako ni SHEITWAAINI kabisa, amezuia mchakato wa katiba mpya ili aweze kutawala apendavyo. Hakika kifo chake na kiwe sawa sawa na kile cha Mwendazake Mangufuli
 
Lucas Mwashambwa ndio maana sipotezagi muda wakumchagua mtu mimi maana ni unatenda dhambi unaenda kuchagua shida tu kama hii mnayoipigia debe
 
Wewe ndiye mnafiki mkubwa unayekalia umbea na uzushi badala ya kufanya kazi kwa bidii ili ujikwamue kimaisha.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Wewe ni fala sana
Nina kazi na biashara sitegemei wanasiasa wanilipe mshahara mwisho wa mwezi.

Unadhani mimi ni shoga kama wewe nategemea kusifia watu ili mkono uende kinywani.

BE A MAN!
 
Wewe ni lishetani kabisa
Sheitwaini ni huyo Mama yako Samia, amebaka mchakato wa katiba mpya na tume huru ya uchaguzi ili "tutakapopiga kura kwingine CCM iunde serikali". Samia ni sheitwaini kabisa na hakika kwa kitendo hiki cha kuhujumu upatikanaji wa katiba, atakufa kifo sawa sawa na mwendazake
 
Wewe ndiye mwenye shida na matatizo
IPo siku utaacha kushadadia ujinga . Halafu cha kushangaza mtu akishakuwa na namba ya viongozi anashida unaona umeshikilia mpini kumbe makali . Shauri yako wengi hapa wamesifia vyama vingi leo hii hawapo . NISHAKUAMBIA FUATA MAISHA YAKO KWA FAIDA YAKO. MIE CCM ILA SIIPONGEZI KAMA NI WANAFANYA UJINGA UJINGA
 
usikute na huyu naye kuna watoto naye wanamwita baba.
 
Hivi mimi hapa bila hata kugombea nitadhubutu kusema 2030 nitakuwepo?jaribuni kuwa na hofu ya Mungu kwa kumtanguliza mbele ya mawazo yetu tusijihakikishia uzima kwa akili zetu hakuna ajuaye kesho yake mfano rais wa Iran alipopanda helkopta alijua atafika anako kwenda lakini hakufika tuseme majaliwa ya mwenyezi Mungu akipenda tusiwe na kiburi cha kulindwa na tiss bali tujisifu kwa kulindwa na malaika wa Mungu
 
Umekosa kabisa akili na adabu.inaonyesha umekua bila kupata malezi ya wazazi wako
 
Jibu ni moja tu kuwa kwa uwezo na majaliwa ya Mwenyezi Mungu tunaendelea kusonga mbele kama Taifa na Rais Samia mpaka 2030.Mungu aliyemuinua Rais Samia ndiye atakaye endelea kumjalia uzima pamoja na kumpa nguvu na maarifa ya kuliongoza Taifa letu mpaka 2030
 
Hatuna mwana CCM mjinga mjinga kama wewe
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Wewe ni fala sana
Nina kazi na biashara sitegemei wanasiasa wanilipe mshahara mwisho wa mwezi.

Unadhani mimi ni shoga kama wewe nategemea kusifia watu ili mkono uende kinywani.

BE A MAN!
Wewe huna kazi zaidi ya umbea na porojo tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…