Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,479
- 3,788
Je kuna ukweli kwenye dongo hili alilorusha Rais Samia kwa wakazi wa Dar?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapuuzi wote walioenda,narudia tena wote walioenda hawajitambuiMnakwendaga kufanya nini kwenye vitu petty, eti kuzindia sensa. acha awanange.
Matatizo yasikie kwa mwenzakoJe kuna ukweli kwenye dongo hili alilorusha Rais Samia kwa wakazi wa Dar? View attachment 2403293
WAPUUZIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII WOTEWapuuzi wote walioenda,narudia tena wote walioenda hawajitambui
Huo ni ujinga tu hayoo ni matumizi mabaya ya kodi zetuMnakwendaga kufanya nini kwenye vitu petty, eti kuzindia sensa. acha awanange.
Kabisaaa aaaaaaWapuuzi wote walioenda,narudia tena wote walioenda hawajitambui
Umetumia you mara mbili katika sentence moja lakiniWhen you are happy you became healthier and have bad memory
Vipi ulitaka ziwe nne?Umetumia you mara mbili katika sentence moja lakini
Bado unaamini kuwatoa ccm kwa makaratasiUchaguzi wa mwaka 2025 utakuwa wa kihistoria