Rais Samia awasili nchini Ethiopia

Ila Mama anapiga Pamba kweli kweli
 
Moja ya kazi anaenda kufanya huko ukiacha kuhudhuria Mkutano wa Wakuu wa Nchi wa AU ni hii hapa πŸ‘‡

View: https://www.instagram.com/p/C3eoYcWqNqQ/?igsh=ejN2MjN4dDBnbGMz
 
Na wasababishaji wakuu wa hizo vita ni hao minerals Don’s ambao ndio pia weapons supplies !
Vita zikipiganwa wao wanapata wakitakacho kwa bei ya Chee. !!
Wanatumia principal ya divide them and get what you need !!
Na mara zote ni lazima wawatumie rebels kukianzisha !
 
Apunguze safari atume wawakilishi huku kuna maandamano vitu vinapanda bei, umeme hakuna
Kweli aisee. Dah huyu mama ni Rais wa safari sio Rais wa wananchi. Utadhani amebet na mtu kuwa mpaka nimalize urais nataka niguse nchi 1000.
Mbona anao wasaidizi wengi tu.

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
 
Mwanajesh hufia vitani ulitaka afie kwenye kinena cha mwanamke!
 
Wazazi wa huyu mama hawakukitambua kipaji chake akiwa mtoto wakiendeleze. Alipaswa kuwa baharia au dereva wa malori ya masafa marefu sio mwanasiasa.
 
Hivi kabakiza nchi ngapi , ningependa kujua aisee
 
Ila huyu MTU Kwa kweli,yani unawaza sijui anatuona wajinga
 
kiukweli uwezi kuwalizisha binadamu wote.
Magu hakua na safari za nje mara kwa mara watu waliona tatizo,kaja Rais wa kupaa hewani muda mwingi watu wanaona tatizo.
 
Anapata muda wa kutulia na kufanya kazi kweli.
 
Mwanajesh hufia vitani ulitaka afie kwenye kinena cha mwanamke!
Kwanini wasilinde miundombinu ya ESKOM inayoporwa na kusababisha Umeme kuwa wa Mgao badala ya kukimbilia kufa kwenye Vita isiyowahusu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…