Rais Samia awasili Saudi Arabia kushiriki mkutano unaozikutanisha nchi za Afrika na Saudi Arabia kujadili masuala mbalimbali ya ushirikiano

Ila Ccm wana roho mbaya sana

Huyu mpiga debe ndo kusema
Hawaoni jitihada zake kabisa?
 
Huyu mchizi bado hajalamba shavu? Siyo kwa uchawa huu
We hujajua kuna magroup yapo ya kupush hizi agenda wanakuwa na simu zao mbili mbili za mkopo, akishatuma jamii forum, facebook, X, instagram na ma social media mengine mengi anascreen shot anatuma kwenye magroup waone ashafanya kazi, alafu anamtumia mkubwa aone kazi yake ashafanya then anambip, mkuu akishaona screenshot ya masocial media yote anatuma allowance ya vocha na ka elfu thalelathin ka kuendelea kupush hizi agenda, haya magroup wapo wabunge wakuu, wilaya, makatibu kata, wakuu wa mikoa, mawaziri na machawa wao Hela za tanzania zinatafunwa kiboya, nishakaa nao mimi unakuta mtu unamdai unamchek anakwambia namfukuzia waziri posta akachukue posho ndio akulipe. Vijana tupambane kutafuta pesa tuwe huru na maoni yetu wanasiasa wanawatumia vijana vibaya, unampigia simu mtu anapokea anakwambia nipo kwenye boda boda namwahi waziri airport anaenda kupanda ndege yan kwa sauti ya boda unajua kabisa boda inakimbia vibaya mno, its very risk aiseee .
 
Avumilie asituuze tu, Rais anakuwa kama dalali na viwanja
Uwe na Heshima na adabu kwa Rais wetu.Tanzania siyo kisiwa .ni lazima ishirikiane na nchi zingine namataifa mengine katika kuona tunajenga mashirikiano yenye kuleta tija na matokeo chanya kwa watanzania.
 
Ni lini rais samia ataalika mataifa ya nje yaje tanzania kama huo mkutano wa saudia kumbuka sisi ni matajiri na tuna fursa na raslmali nyingi ili waje kuwekeza na ikibidi tuwakopeshe.
 
Silipwi kwa ajili ya kuandika hapa jukwaani na wala sijawahi kulipwa kwa kazi ya kuandika hapa.mimi nafanya kazi ya kizalendo na siyo kama wewe unavyowaza na kujaribu kupotosha hapa jukwaani kwa mapengo yako Binafsi.
 
Ni lini rais samia ataalika mataifa ya nje yaje tanzania kama huo mkutano wa saudia kumbuka sisi ni matajiri na tuna fursa na raslmali nyingi ili waje kuwekeza na ikibidi tuwakopeshe.
Mbona wanakuja mara nyingi sana.si ni majuzi juzi tu hapa tumempokea Rais wa Ujerumani? Makamu wa Rais wa Marekani alitembelea hapa,rais wa zambia amekuja hapa.viongozi mbalimbali kutoka mataifa mbalimbali Duniani kote tumewapokea hapa nchini.
 
Mbona wanakuja mara nyingi sana.si ni majuzi juzi tu hapa tumempokea Rais wa Ujerumani? Makamu wa Rais wa Marekani alitembelea hapa,rais wa zambia amekuja hapa.viongozi mbalimbali kutoka mataifa mbalimbali Duniani kote tumewapokea hapa nchini.

Tunahitaji mkutano awalete wote pamoja na ikibidi tuwape mikopo kama alivyoenda huko saudia na kwengineko.
 
Zururaji tu, anashindwa kukusanya kodi KADCO anazurura na kibakuli
 
Zururaji tu, anashindwa kukusanya kodi KADCO anazurura na kibakuli
Acha uongo wako wewe.kama serikali haikusanyi kodi ingewezaje kupata kodi ya zaidi ya Trilioni mbili kwa mwezi? Ingeweza vipi kulipia mishahara ya watumishi wa umma kwa wakati? Ingeweza vipi kutoa elimu bure,kujenga miradi mbalimbali kila kona ya Taifa letu? Ingeweza vipi na ingetoa wapi pesa za kuboresha huduma za afya , barabara,kununua magari ya wagonjwa,kupeleka madawa,vifaa tiba mahospitalini?
 
Zururaji tu, anashindwa kukusanya kodi KADCO anazurura na kibakuli
Acha ujinga ,Bila Samia kuwajulosha kadco mlikuwa mnapigwa na mashujaa mbuzi wenu.

Ulikuwa unaijua kadco wewe au umeijua Sasa baada ya Samia kuwapa uhuru wa kusema? Na amerudisha uwanja Serikalini and so kadco imekufa.

Mwisho punguani kama wewe una hata shughuli ya kulipa Kodi kwanza?
 
HAPANA wewe endelea na ukasuku, tafuta MAISHA Dogo
Mkuu umesahau ile tafiti iliyofanyika na kuchapishwa na Millard ayo kuhusu wafuasi wa vyama vya siasa TZ?
Kwamba aina ya wafuasi wa CCM ni ipi?
 
Waaabu ni wajanja sana, wameona in next 30 yrs mafuta yatakuwa hayana soko tena Duniani kwa kazi ya technologia inavyokuja kwa kasi, sasa wameanza urafiki na nchi za Africa kuona nini wanaweza kukifanya (kuwekeza), kumbuka Africa ndiyo bara pekee duniani lenye kila kitu ila wananchi wake almost 70% ni maskini wa kutupwa.
 
Marekani yenyewe inahamasisha uwekezaji na wawekezaji kuwekeza nchini mwake ili kutengeneza fursa za ajira sembuse Tanzania? Sasa wewe bweteka na kujilisha ujinga uone unavyobakia na umasikini wako wakati mataifa mengine yakisonga mbele kwa kasi.
 
Marekani yenyewe inahamasisha uwekezaji na wawekezaji kuwekeza nchini mwake ili kutengeneza fursa za ajira sembuse Tanzania? Sasa wewe bweteka na kujilisha ujinga uone unavyobakia na umasikini wako wakati mataifa mengine yakisonga mbele kwa kasi.
ni lazima wawe waarabu tu ndugu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…