NENDA KAISHI ZAMBIA KWA WATU WA KIMYAKIMYA SISI TUMESHAZOEA MISAFARA TUACHE NA MISAFARA YETU YAANI M IJITU MINGINE HAIJUI HATA PROTOCALHuyu anafanya kutoka moyoni huwezi kuona misafara ya ajabu ajabu tofauti na huyu mwigizaji mpenda misafara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NENDA KAISHI ZAMBIA KWA WATU WA KIMYAKIMYA SISI TUMESHAZOEA MISAFARA TUACHE NA MISAFARA YETU YAANI M IJITU MINGINE HAIJUI HATA PROTOCALHuyu anafanya kutoka moyoni huwezi kuona misafara ya ajabu ajabu tofauti na huyu mwigizaji mpenda misafara
Level yako ya kuhate iko juu sanaa, nikupongeze kwa hiloKwani angepata Helicopter angepungukiwa na nini?
Haijaokoa?Mpka Sasa serikali ya mama Samia haijaokoa hata mtu mmoja. Sana sana wanapinga selfie tu huko na kusaidia kubeba maiti
Mkuu tunataka kubana matumiziLevel yako ya kuhate iko juu sanaa, nikupongeze kwa hilo
Acha ujinga, protocal za matumizi makubwa? kuna vita Tanzania?NENDA KAISHI ZAMBIA KWA WATU WA KIMYAKIMYA SISI TUMESHAZOEA MISAFARA TUACHE NA MISAFARA YETU YAANI M IJITU MINGINE HAIJUI HATA PROTOCAL
Samia katokea wapi? Katokea Dar ? Au katokea Dubai .?Mkuu tunataka kubana matumizi
Mkuu leo kulikuwa na msafara wa PM, CDF na Maza tokea KIA, misafara yote hiyo ya nini? tumekaa barabarani zaidi ya masaa 2 tunasubiri wakubwa wapiteNaona umemuamulia!
Katokea DarSamia katokea wapi? Katokea Dar ? Au katokea Dubai .?
Tope limeacha kushika na mvua haijanyesha tangu juzi. Kwahiyo madhara yameacha kutokea.Haijaokoa?
Kivipi mkuu? Ina mana watu wanaendelea kufa au?
Tanzania pekee maana wanakula sn pesa za ummaHivi ukiwa kigogo lazima uwe na kitambi au hii ni kwa Tz tu?
Hakuna aliyeokolewa. Maiti ndiyo zimeopolewa.WALIOOKOLEWA WAMEJIOKOA WENYEWE?
Pale wanaenda kuchek aftermath,Tope limeacha kushika na mvua haijanyesha tangu juzi. Kwahiyo madhara yameacha kutokea.
Lkn kusanyiko lote lile la serikali halijafanikiwa kumnasua mwananchi yeyote aliyekuwa hai ambaye alikuwa amenaswa ama anapelekwa na tope.
Bure kabisa!!
Sendiga kafanya kazi kwa vifaa vipi? Mikono na chepe?? Angalia ujinga huu!!!Sendiga kafanya kazi kubwa sana
Mkuu leo kulikuwa na msafara wa PM, CDF na Maza tokea KIA, misafara yote hiyo ya nini? tumekaa barabarani zaidi ya masaa 2 tunasubiri wakubwa wapite
Tuna safari ndefu saaaanaassSendiga kafanya kazi kwa vifaa vipi? Mikono na chepe?? Angalia ujinga huu!!!
View attachment 2835668
Ni aibu ya karne.Tuna safari ndefu saaaanaass
Hivi huko Tuition unafundisha au unalawitiMakonyagi na yule mwizi wa magari wamewahi ili waonekane kwenye taarifa ya habari ya itv 😂😂
Karibu MH Samia Raisi wa jamuhuri ya muungano