Rais Samia awastukia Chawa, aanza kufuata ushauri wa Askofu Bagonza

Rais Samia awastukia Chawa, aanza kufuata ushauri wa Askofu Bagonza

Kusifiwa na mtu aina ya Kigwa, unayejua kabisa yupo tayari kusema lolote ili arudi kwenye system lazima ushtuke kama kweli unajipenda, kuna watu wako tayari kuonekana makatuni ilimradi warudi kwenye v8 walizozimisi baada ya kuondolewa uwaziri.
🤣🤣🤣🤣
 
Mama Leo ameupiga mwingi kweli kweli, machawa nadhani hawakutarajia hivyo mama ameamua kuwapoza kwa kutambua uwepo wao😅

Lakini Kama nchi/taifa, ni mwanzo mzuri hasa kwa mwaka huu mpya 2023.
 
Mimi huwa naongea ukweli kwa ushahidi na siyo kuandika tu Kama stori,Mambo aliyoyafanya mh Rais wetu mpendwa mama Samia kiutendaji ni makubwa Sana na yanayoonekana mbele za mtu yeyote mwenye kuona na asiye taka kujipa upofu wa makusudi
usisahau namba ya simu
 
Mimi huwa naongea ukweli kwa ushahidi na siyo kuandika tu Kama stori,Mambo aliyoyafanya mh Rais wetu mpendwa mama Samia kiutendaji ni makubwa Sana na yanayoonekana mbele za mtu yeyote mwenye kuona na asiye taka kujipa upofu wa makusudi
Tena wewe ni chawa anaye kaa kwenye vuz...i kabisa[emoji117][emoji90]
 
Mimi huwa naongea ukweli kwa ushahidi na siyo kuandika tu Kama stori,Mambo aliyoyafanya mh Rais wetu mpendwa mama Samia kiutendaji ni makubwa Sana na yanayoonekana mbele za mtu yeyote mwenye kuona na asiye taka kujipa upofu wa makusudi
Anazidi kuwakana daily. Kwa wewe teuzi sahau. Utahangaika sana JF... Na namba za simu unaweka kila wakati. Uchawa Rais hataki. Anataka kufanya kazi na watu wenye akili siyo akina baba levo.
 
Hizi ID mbili ni mtu mmoja jina halisi ni Lucas Mwashambwa
alaaa kumbe ndio maana naona nikisema kuhusu lucas huyu fala anakuja kutetea tena kwa lugha kali 😂😂😂😂😂 kumbe anajibadili tu anakuja kujitetea😂😂😂
 
Back
Top Bottom