Rais Samia awataka wananchi kuacha kufanywa ngazi

Rais Samia awataka wananchi kuacha kufanywa ngazi

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewataka Wananchi kuamka na kuacha kufanywa ngazi akisema, "Hawa watu wanakuja na maneno mazuri wanawafanya kuwa ngazi mnainama wanapanda. Wakifika wanapotaka, hamna maana"

Akiwa Mkoani Mara amesema Miradi inayoletwa ni ya Wananchi hivyo waifuatilie, na ikiwa haiendi waseme. Amesema kuna miradi imekaa muda mrefu bila kutekelezwa na watu wanakaa kimya na kujiumiza wenyewe
 
Mifumo yetu hairuhusu kwa kelele za wananchi kusikika ndio maana tukachagua wabunge ambao nao hawatekelezi majukumu yao.

Hivyo kwakua mifumo ni kandamizi hakuna litalofanyika labda viongozi wenyewe waone aibu.

Bunge liwe huru , mifumo ya kuwajibisha viongozi iwe accessible , independent na effective.
 
Mifumo yetu hairuhusu kwa kelele za wananchi kusikika ndio maana tukachagua wabunge ambao nao hawatekelezi majukumu yao.

Hivyo kwakua mifumo ni kandamizi hakuna litalofanyika labda viongozi wenyewe waone aibu.

Bunge liwe huru , mifumo ya kuwajibisha viongozi iwe accessible , independent na effective.
Si mmekuwa mstari wambele kukwamisha katiba mpya , acha dawa iwaingie.
 
Mifumo yetu hairuhusu kwa kelele za wananchi kusikika ndio maana tukachagua wabunge ambao nao hawatekelezi majukumu yao.

Hivyo kwakua mifumo ni kandamizi hakuna litalofanyika labda viongozi wenyewe waone aibu.

Bunge liwe huru , mifumo ya kuwajibisha viongozi iwe accessible , independent na effective.
Leo umewekewa betri mpya nini, mbona umetiririka vizuri sana?
 
Rais wa JMT,Samia S.Hassan amewataka wananchi kutofanywa ngazi za wanasiasa.

Rais amewaomba wananchi wafichue viongozi wezi Ili aweze kuchukua hatua maana kukaa kimya ni kujiumiza.

Hongera Sana mh.Rais kwa huu wito, kwani kupambana na ufisadi sio ishu ya Takukuru na Serikali pekee.Hakika wewe ni mkweli na uko cencerely na una Nia njema na wananchi wako.

Mungu akupe ujasiri na hekima zaidi.

Screenshot_20220208-102105.png
 
Back
Top Bottom