Rais Samia awatembelea Mzee Makamba, Mama Maria Nyerere pamoja na Familia ya Marehemu Membe leo 14 Julai 2023

Vipi wale waloitwa polisi wameshaachiliwa huru na kurejea majumbani mwao?
 
Daaah Kweli anasoma mkataba wa bandari kwa misele hii?
Asante
 
Barabara ya kwenda kwa Mzee Makamba ilichorongwa jana usiku ile mheshimiwa apite, hii barabara haijaliona greda miaka, ni barabara ya kutoka Kondoa Wazo Tegeta kwenda Kisanga kupitia kanisa la RC hadi nyumbani kwa mheshimiwa sana Makamba, watu wamejiuliza kwani sasa ndio pesa wameitoa wapi kwani tuliambiwa hakuna hela, pia naona hii ziara ni ya kushtukiza ndio maana greda imechoronga hii barabara usiku kama saa tatu hivi. Tunashukuru ujio wa mama angalau bajaji sasa zitapita bila kuingia mashimoni.
 
Amenda kutoa stress za dp world
 
Kaenda kuomba msamaha kwa mjane wa muasisi wa Taifa.
 
Ulichokiona ni nini hadi umpe daraja la upendo na kuheshimu utu.

sijawahi kukutana na Rais lakini ninapo muona kila mahali anapo kwenda ni mtu mwenye kuheshimu sana binadaamu wenzake awe mdogo au mkubwa, kwake yeye Urais haujamvaa bali kauvaa Urais.

viongozi wengine wanapaswa kumuiga sana Rais sio mtu wa kujivuna wala kujisikia yeye ni Rais kiongozi wa juu zaidi lakini ....yuko simple na humble kwa kila mtu......
 
Peleka kwa lissu, slaa na mbowe wakupatie majibu. Mama is too busy kutekeleza shughuli za maendeleo wajinga nyie!!
 
Mzee wa kutoshirikisha hekima kwenye mtamko yake anaingia kukinukisha soon.

Subirini Watanzania tunaohoji tutakavyosutwa na kutukanwa.

Mama anapaswa kuvunja Baraza la Mawaziri hajachelewa bado.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…