Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu tufahamishe, tuelimike! Mnageria kivipi?Kumbe huyu mnigeria walimzika Malawi?
Vipi mbona matusi tena?ulitaka hiyo safari afanye mamako? mmejaa chuki za kipumbavu ila hmna la kufanya mapaka 2030, nyoko
Huyo si ndiye alituvalia ngozi ya chui kututishia watanzania!!Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe Samia Suluhu Hassan amezuru na kuweka shada la maua kwenye kaburi la Rais wa Kwanza wa Malawi, Hayati Kamuzu Banda Nchini Malawi.
Kuna tetesi kuwa hakuwa mmalawiMkuu tufahamishe, tuelimike! Mnageria kivipi?
Kwa mantiki hiyo, unataka kutuambia kuwa hata majina yake aliyabadilisha? Kama unavyo fahamu, majina na lafudhi ya lugha ya makabila yana utambulisho wa mtu. Huyu Bwana alitwa Hasting Banda, na akina Banda ni watu wa Nyasaland. Ebu weka nyama tuelewe.Kuna tetesi kuwa hakuwa mmalawi
Ndio hawaja sema bado, vipi Mkuu wewe una ufuhamu lidogo?Kwani wamalawi wenyewe wanasemaje? Au hawajanena chochote?
Ndio hawaja sema bado, vipi Mkuu wewe una ufuhamu lidogo?Kwani wamalawi wenyewe wanasemaje? Au hawajanena chochote?
Ndio inasemekana hivyo kwamba wabantu wengi huko Z'bar wametoka TZ na huko.Inasemekana Rais wa kwanza wa Zanzibar alikuwa na asili ya Malawi. Hawa ni ndugu zetu.
Amandla...
Huyu mtu alisema kuwa aliondoka utotoni kwenda kutafuta masomo. Ila alirudi akiwa mkubwa na haelewi rugha za malawi. Kunaandiko nimelisoma leo kuwa banda aliyerejea hakuwa yeye kwani banda aliyeondoka hakuwa na kidole gumba ila wazazi wa banda walitishwa wasitoe siri hiyo.Kwa mantiki hiyo, unataka kutuambia kuwa hata majina yake aliyabadilisha? Kama unavyo fahamu, majina na lafudhi ya lugha ya makabila yana utambulisho wa mtu. Huyu Bwana alitwa Hasting Banda, na akina Banda ni watu wa Nyasaland. Ebu weka nyama tuelewe.
Wewe ni Mungu aliyeziumba mbingu na nchi? Ungekuwa Mungu au nabii walau basi ungefahamu majira na nyakati na nini kitatokea keshoulitaka hiyo safari afanye mamako? mmejaa chuki za kipumbavu ila hmna la kufanya mapaka 2030, nyoko
Banda alikuwa kibaraka wa makaburu wa Afrika KusiniKamuzu hajawahi kukaa meza moja na mwalimu mbona hilo lipo wazi
Ni jambo jemaRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe Samia Suluhu Hassan amezuru na kuweka shada la maua kwenye kaburi la Rais wa Kwanza wa Malawi, Hayati Kamuzu Banda Nchini Malawi.
🤔🤔🤔🤔🤔🤔Tiketi ya chama ndio kitambulisho pekee kinachompa mwanachama nguvu mjini,hawezi mwelewa mtu anayezungumza masuala ya kitaifa kwa ajiri ya Taifa,. , Ukiwa mwanachama ukiambiwa Sasa hivi tunapiga kule ,wewe unapiga tu ,Sasa hivi tusimame,wewe unasimama,,,urithi pekee kwenye kichwa chako ni hisia za mwenyekiti wa chama. Akimnunia flani na wewe unanuna, akimchekea na wewe unacheka,, akiongea pumba unapiga makofi,,,,,,mmerithi wakati na hisia za mwl Nyerere bila kujua kwamba Taifa linaendelea, think independently bro!!!