Afu tunampa mitano tena, atake asitake.Rais Samia tunakwenda naye hadi 2030
Kazi Iendelee!
Kwamba mazwazwaAfu tunampa mitano tena, stake asitake.
Nchi hatuwapi tena mazwazwa. Tumejifunza kutokana na makosa tuliyofanya 2015 mpaka Mungu alipoamua kuturekebishia makosa yetu
Wenye chama Chao... walikiazima kwa mazwazwa wa mataga kwa miaka mitano. Mazwazwa yakanogewa yakataka kukimiliki... Mungu akaingilia katiWenyewe akina nani?. Jana akikabidhiwa kofia ya uraisi wa chama alisema hilo tukio hakika lina dhihirisha kuwa ccm ina wenyewe.
Habari ndi iyoRais Samia tunakwenda naye hadi 2030
Kazi Iendelee!
Kwa hiyo kutakuwa na mitano tena baada ya 2025!Rais Samia tunakwenda naye hadi 2030
Kazi Iendelee!
Hiyo tarehe 17 wameamua tu kusema wao. Mungu alishatenda miujiza wiki moja kabla. Mazwazwa wakamficha wakidhani angefufuka... si unajua mtu yule alishawapiga fix yeye ni kiongozi wa malaika?Kwamba mazwazwa
Washamba
Waliotaka kuendesha nchi kama wanaswaga ng'ombe
Wasioshaurika
Wenye viburi na maneno ya kujivuna
😎
Mungu akabonyeza kibatani cha execute na habari ikaishia ile tarehe 17.
Ndio maana yake bwashee!Kwa hiyo kutakuwa na mitano tena baada ya 2025!
Mitano tena baada ya 2035. Atake asitakeKwa hiyo kutakuwa na mitano tena baada ya 2025!
Kwa hiyo Mungu sneamua kutukomboa bila vita?Afu tunampa mitano tena, atake asitake.
Nchi hatuwapi tena mazwazwa. Tumejifunza kutokana na makosa tuliyofanya 2015 mpaka Mungu alipoamua kuturekebishia makosa yetu
Mungu wetu ni Mungu wa amani. Hakutaka tumwage damu, akamtuma ziraili akafanye kazi yake kwa amaniKwa hiyo Mungu sneamua kutukomboa bila vita?
Sawa Aunty U !Mpuuzi wewe, uho ushauri kampe mumeo,. 2025 asigombee ili agombe bibi yako au?