n-propanol
JF-Expert Member
- Apr 7, 2019
- 5,349
- 7,000
Kwenye lile genge ambalo wale 19 walichomoka, mbona mazwazwa wote mule.Afu tunampa mitano tena, atake asitake.
Nchi hatuwapi tena mazwazwa. Tumejifunza kutokana na makosa tuliyofanya 2015 mpaka Mungu alipoamua kuturekebishia makosa yetu
Ameanza kuharibu mapema.Rais Samia tunakwenda naye hadi 2030
Kazi Iendelee!
Sio Magufuli atawale hadi achoke mwenyewe?Rais Samia tunakwenda naye hadi 2030
Kazi Iendelee!
Ameondoa mfumo dume.Rais Samia tunakwenda naye hadi 2030
Kazi Iendelee!
kuandikwa kwenye Historia kama itakavyoandikwa kuwa ni Raisi wa kwanza Mwanamke kwa East Afrika Afrika ya kati mpaka kusini huko[color/] na pia Mwenyekiti wa CCM .
Shocker hongera kwa kutumia Uhuru wako kutoa ushauri wa kijinga.La muhimu ni kwa Raisi Samia kwa hii miaka minne,au mitatu,aipatie Tanzania katiba mpya,asijikweze sana kutaka kugombea hapo 2025,hilo si lake awaachie wenyewe.
Zaidi ajikite kwenye kuwekeza utawala wa sheria,Katiba mpya na tume huru ya Taifa ya Uchaguzi ,mambo matatu hayo yatamuweka kwenye chati milele na kuandikwa kwenye Historia kama itakavyoandikwa kuwa ni Raisi wa kwanza Mwanamke kwa East Afrika Afrika ya kati mpaka kusini huko na pia Mwenyekiti wa CCM .
nchi inahitaji Katiba mpya,Utawala wa sheria na Tume huru ya Uchaguzi.
namsii awachane kabisa na mambo ya kutaka kuendelea kugombea 2025.Asikubali kutomezwa !
Shauri yako hutaamini.Huyu mama alikua kiti cha mbele kwenye mchakato wa katiba mpya. Hivi kwa akili yako ataacha kweli ku revisit ule mchakato??!! Big no hawezi Acha nguvu zake zipotee Kwanza huyu ni Muislam wa wastani flani hua hajikwezi. I don't mean waislam hawajikwezi lkn wale wenye chembe chembe za kuijua dini hua sio wababe sana kama sijui kina Nani if you know what I mean.
so suala la katiba usitie Shaka litakuja tu. At the moment she is putting her efforts in house cleaning, you know how good ladies are at it.
Hata yeye atakuwa salama dhidi ya maharamia wa chattleLa muhimu ni kwa Raisi Samia kwa hii miaka minne,au mitatu,aipatie Tanzania katiba mpya,asijikweze sana kutaka kugombea hapo 2025,hilo si lake awaachie wenyewe.
Zaidi ajikite kwenye kuwekeza utawala wa sheria,Katiba mpya na tume huru ya Taifa ya Uchaguzi ,mambo matatu hayo yatamuweka kwenye chati milele na kuandikwa kwenye Historia kama itakavyoandikwa kuwa ni Raisi wa kwanza Mwanamke kwa East Afrika Afrika ya kati mpaka kusini huko na pia Mwenyekiti wa CCM .
nchi inahitaji Katiba mpya,Utawala wa sheria na Tume huru ya Uchaguzi.
namsii awachane kabisa na mambo ya kutaka kuendelea kugombea 2025.Asikubali kutomezwa !
Kwani kwenye ile hotuba yake ameeleza chochote kuhusu katiba mpya?La muhimu ni kwa Raisi Samia kwa hii miaka minne,au mitatu,aipatie Tanzania katiba mpya,asijikweze sana kutaka kugombea hapo 2025,hilo si lake awaachie wenyewe.
Wenye chama chao wapi?Mbona chama hicho kilitoka huko huko kanda ya ziwa?Kwa Julius.Inaonekana haujui kabisa mfumo wa chama.Hao wakina Nape,Makamba na hata Kikwete wamekikutaWenye chama Chao... walikiazima kwa mazwazwa wa mataga kwa miaka mitano. Mazwazwa yakanogewa yakataka kukimiliki... Mungu akaingilia kati
Umeme maji safi tokea wakati wa Nyerere hamjayapata mnataka kumpachika mzigo wenu Mzanzibari.Hivyo si vipau mbele vya wananchi walio wengi,hivyo ni vipaumbele vya wasaka madaraka,eti atakumbukwa! Amekwambia anataka kukumbukwa? Yeye afanye yale watanzania wengi wanataka umeme,maji safi na salama,kupata huduma bora za afya,maslahi ya makundi yote wakulima na wafanyabiashara,wafanyakazi.
Heshima itakuja automatic.
Utakuwa ushakufa kwa unafiki wako.Rais Samia tunakwenda naye hadi 2030
Kazi Iendelee!
πππππAfu tunampa mitano tena, atake asitake.
Nchi hatuwapi tena mazwazwa. Tumejifunza kutokana na makosa tuliyofanya 2015 mpaka Mungu alipoamua kuturekebishia makosa yetu
Wajinga kama nyie ndo mnaamini chama kimetoka kwa wachunga ng'ombeWenye chama chao wapi?Mbona chama hicho kilitoka huko huko kanda ya ziwa?Kwa Julius.Inaonekana haujui kabisa mfumo wa chama.Hao wakina Nape,Makamba na hata Kikwete wamekikuta
Inategemea ni nani anajua maana ya zwazwa....Kwenye lile genge ambalo wale 19 walichomoka, mbona mazwazwa wote mule.