Rais Samia azindua Kitabu cha Maisha ya Rais wa Tanzania wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi

Rais Samia azindua Kitabu cha Maisha ya Rais wa Tanzania wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi

MMh Akili zimeanza kukufyatuka tena mkuu, Ama kweli upumbavu haufichiki
 
Nimeshakuambia mara kadhaa kuwa wewe ni mpumbavu na uwe unakaa kimya ila husikii!Suala hapa siyo kuahirishwa kwa mechi ya Simba na Yanga na tukio la mwinyi kurushwa live.

Suala hapa ni serikali kuvunja kanuni za FIFA kwa kuingilia mambo ya michezo kama TFF walivyodai kwenye barua yao kuwa wameamriwa na wizara kuahirisha mechi kitu ambacho ni kinyume na kanuni.Kitu hiki kinaweza kutugharimu kama Taifa katika masuala ya michezo.Umeelewa sasa?
Bora umemjibu huyo mjinga maana anashindwa kuelewa Kati ya soccer na siasa
 
'…Wahafidhina wa Ujamaa walinifunga Goli 1987 kwa kumnyima kura Cleopa David Msuya Waziri wangu muhimu lakin nami nilihakikisha Pamoja na kunifunga goli hawashindi mechi …na hawakushinda mechi'-Ally Hassan Mwinyi kwny kitabu chake cha Mzee Rukhsa!


Mzee Rukhsa ni Yanga Lia lia naona katumia mbinu ya kimedani kutoharibu tukio lake muhimu kwa Utopolo kufungwa kwa kipigo cha Mbwa mwizi,
 
Yaani runinga ziache kurusha matangazo ya moja kwa moja ya hotuba ya Rais wa nchi kisa eti kuna mechi ya Simba na Yanga ambayo wadhamini wameshalipia matangazo.

TFF mnapaswa kuangalia ratiba za matukio muhimu ya nchi kwanza wiki moja kabla mechi hazijachezwa.

Hizo haki za television ni zenu lakini linapokuja swala muhimu kwa taifa Simba na Yanga si lolote wala chochote kwa sababu siyo kila mtanzania anafagilia mambo ya soka na kamari.

Kazi Iendelee!
Hivi unatumia akili zako vizuri tangu covid 19 hadi mechi ya simba na yanga watu wengine sijui mkoje.
 
Bi Mkubwa should do the right thing --- kuapolojaiz na kujiuzulu nafasi hiyo. Wananchi wamehujumiwa na mkuu wa nchi.
 
Wangesema mapema mechi itachezwa saa moja au hata saa mbili wala isingetokea shida
 
We bwashee vp umeamka nayo nn mbege????kwan ratiba haikujulikana kabla????
Yaani runinga ziache kurusha matangazo ya moja kwa moja ya hotuba ya Rais wa nchi kisa eti kuna mechi ya Simba na Yanga ambayo wadhamini wameshalipia matangazo.

TFF mnapaswa kuangalia ratiba za matukio muhimu ya nchi kwanza wiki moja kabla mechi hazijachezwa.

Hizo haki za television ni zenu lakini linapokuja swala muhimu kwa taifa Simba na Yanga si lolote wala chochote kwa sababu siyo kila mtanzania anafagilia mambo ya soka na kamari.

Kazi Iendelee!
 
'…Wahafidhina wa Ujamaa walinifunga Goli 1987 kwa kumnyima kura Cleopa David Msuya Waziri wangu muhimu lakin nami nilihakikisha Pamoja na kunifunga goli hawashindi mechi …na hawakushinda mechi'-Ally Hassan Mwinyi kwny kitabu chake cha Mzee Rukhsa!


Mzee Rukhsa ni Yanga Lia lia naona katumia mbinu ya kimedani kutoharibu tukio lake muhimu kwa Utopolo kufungwa kwa kipigo cha Mbwa mwizi,


Hivi mstaafu haoni hata aibu kuitwa Mzee Ruksa!??? His book kimechangia tu deforrestation kwenye misitu ya Iringa kwa ajili ya karatasi za hiko kitabu.
 
Nimeshakuambia mara kadhaa kuwa wewe ni mpumbavu na uwe unakaa kimya ila husikii!Suala hapa siyo kuahirishwa kwa mechi ya Simba na Yanga na tukio la mwinyi kurushwa live.

Suala hapa ni serikali kuvunja kanuni za FIFA kwa kuingilia mambo ya michezo kama TFF walivyodai kwenye barua yao kuwa wameamriwa na wizara kuahirisha mechi kitu ambacho ni kinyume na kanuni.Kitu hiki kinaweza kutugharimu kama Taifa katika masuala ya michezo.Umeelewa sasa?
Wewe ni mbwiga mpira ni wa FIFA na TFF siyo wa serikali.

Kama TFF inajipendeza serikalini hilo ni swala lao, anaposimama Rais kuongea vyombo vyote huelekezwa huko siyo kwenye ndondo.

TFF hawajaambiwa na yoyote kutoka serikalini kwamba wasogeze muda wa mechi kuanza.

Hata boss wako Halima Mdee ambaye ni Yanga damu analielewa hili!
 
Rukhsa yake imefungua mengi ikiwemo hili swali la kebehi ulilouliza

Enzi hizo kumiliki fridge la kutunzia Nyanya na kupata maji baridi ilikuwa uhujumu Uchumi …sasa hivi ukimsimulia kijana anaona kama story za kutungwa
Hivi mstaafu haoni hata aibu kuitwa Mzee Ruksa!??? His book kimechangia tu deforrestation kwenye misitu ya Iringa kwa ajili ya karatasi za hiko kitabu.
 
Rukhsa yake imefungua mengi ikiwemo hili swali la kebehi ulilouliza

Enzi hizo kumiliki fridge la kutunzia Nyanya na kupata maji baridi ilikuwa uhujumu Uchumi …sasa hivi ukimsimulia kijana anaona kama story za kutungwa

Ninakusoma sana. Ila ni kosa kubwa mno unapovuta jahazi kuliokoa, unatoa pendulum extreme moja hadi extreme nyingine. Huo mfumo ndio huuu wa sasa wa Bi Mkubwa. Clueless & ^knowledgeless^ leaders
 
Yaani runinga ziache kurusha matangazo ya moja kwa moja ya hotuba ya Rais wa nchi kisa eti kuna mechi ya Simba na Yanga ambayo wadhamini wameshalipia matangazo.

TFF mnapaswa kuangalia ratiba za matukio muhimu ya nchi kwanza wiki moja kabla mechi hazijachezwa.

Hizo haki za television ni zenu lakini linapokuja swala muhimu kwa taifa Simba na Yanga si lolote wala chochote kwa sababu siyo kila mtanzania anafagilia mambo ya soka na kamari.

Kazi Iendelee!
Utawala usioheshimu wananchi ni shida kubwa.
 
Yaani runinga ziache kurusha matangazo ya moja kwa moja ya hotuba ya Rais wa nchi kisa eti kuna mechi ya Simba na Yanga ambayo wadhamini wameshalipia matangazo.

TFF mnapaswa kuangalia ratiba za matukio muhimu ya nchi kwanza wiki moja kabla mechi hazijachezwa.

Hizo haki za television ni zenu lakini linapokuja swala muhimu kwa taifa Simba na Yanga si lolote wala chochote kwa sababu siyo kila mtanzania anafagilia mambo ya soka na kamari.

Kazi Iendelee!
Kwani lile tukio ni la kitaifa???? Au sherehe tu ya kawaida kama harusi
 
TFF hawajaambiwa na yoyote kutoka serikalini kwamba wasogeze muda wa mechi kuanza
Hii barua ya TFF ya kuahirisha mechi inasema kuwa wamepewa maelekezo kutoka wapi?Ninapokuambia kuwa wewe ni mpumbavu jua kuwa sikuonei!

yt5432110.jpg
 
Back
Top Bottom