Bashe is good.Ila nashauri kwa mara nyingine tena yafuatayo:
1.Maafisa Ugani wawe na weledi unaotakiwa.Wengi wanaogopa kwenda kwa wakulima because they are incompetent.
2.Ihakikishwe kwamba vyombo vyao vya usafiri vipo up and running wakati wote.Kwa hiyo wapewe posho ya mafuta na service inayo tosheleza haja.
3.Hela ya kutosha kwa ajili ya mashamba darasa ijumlishe pia vifaa kama pesticides,sprayers,mbolea nk.
4.Hizo pikipiki baada ya miaka miwili,wapewe ziwe zao,ila waendelee kupata posho ya mafuta na service,in that way watazitunza.Wasainishwe mkataba unaoainisha hili.
5.Nashauri mishahara yao iongezwe,ili kushawizi brains kuingia huko.
6.Mwisho nashauri pia vijana waliofaulu vizuri ndio wachaguliwe ku-pursue course ya Kilimo.
Otherwise hongera sana Bashe,viatu vimekutosha.