Mwanahabari wa Taifa
JF-Expert Member
- May 27, 2020
- 1,588
- 956
Kanda ya ziwa pamba imenunuliwa kwa tsh. 1750, toka tsh. 900 ya mwaka jana. Bahati mbaya wengi hawakulima mwaka jana baada ya kuchoshwa na Bei,mkopo na mvua kubwa zilizopitiliza na ugonjwa wa pamba kuzeeka ( kuwa nyekundu) kabla ya wakati.
Wakulima sisi tumekubali mapigo,
Kahawa hapa Bukoba ilikuwa Tsh1,000 tena kwa mkopo leo Tsh 1,500 keshi,
Sisi Bukoba tunamtaka mama tena 2025.
Mwaka jana bei ilikiwa 800 mkuu,Jamaa yangu ni wakala
Naunga Juhudi za Samia Leo hata kesho,
Mimi ni nani nisiome haya,
Watu hawatekwi tena,
Maiti hazikutwi tena Baharini,
Wanasiasa wako huru wanafurahi na familia zao,
Wakulima wanashangilia bei ya mazao yao,
Bodaboda faini ten tu,
Umeme elfu 27 na nguzo hulipi,
Ivi mnatakaje wengine?
Hii demand 'Vs supply ni wakati wa Mama tu au unazikwepa juhudi zake?
Tuache roho mbaya Rais Samia anafanya kazi kubwa sana,
Naona Mama Samia anawapa kiwewe yaani Wapinzani wake,
Mama haitaji uchaguzi 2025 apite tu bila kupingwa,
Bwege mtozeni, naona upo kwa mission maalumu,kazana [emoji41]RAIS SAMIA AIPAISHA JUU BEI YA CHOROKO KWA 100% TOKA TZS 500|800 FY 2020|21 HADI TZS 1,610 FY2021|22 KWA KILO
_______________________________
Mhe Rais baada ya kufanikiwa kuongeza bei ya Mbaazi kwa zaidi ya 3200%/kg,Pamba kwa zaidi ya 125%/kg Alizeti kwa zaidi ya 120%/kg,Sasa ni zamu ya choroko ambayo nayo kwa mfumo uleule bei yake imepanda kwa zaidi ya 100%/kg, Ukitafuta wastani wa ongezeko la bei kwa mazao yote ya kibiashara yaliyovunwa mpaka sasa utagundua Rais Samia Suluhu Hassan ameongeza kila zao kwa zaidi ya 100%/kg ndani ya kipindi chake hiki kifupi, yaani ameongeza bei mara mbili zaidi ya bei ya awali,Sote ni mashahidi, Wakati bei za bidhaa nyingine mbalimbali ikipanda mwaka hadi mwaka bei ya choroko haijawahi kuvuka Tshs 1,300 kwa zaidi ya mwongo mmoja leo,
Rais pekee mwanamke Barani Africa na Rais wa kwanza Mwanamke EAC, Mama Samia Suluhu Hassan kwakutambua kuwa zaidi ya 80% ya Watanzania anaowaongoza wanategemea kilimo, 58.1% ni wakulima huku 65% ya malighafi zote za Viwandani zinatokana na kilimo na 100% ya chakula chote duniani kinatokana na kilimo huku kilimo kikichangia 27% kwenye Pato la Taifa ( GDP) ,Mama ameamua kuwekeza nguvu kubwa kwenye Uzalishaji na Masoko ya mazao yatokanayo na kilimo,Hii ni tofauti kidogo na watangulizi wake wote tangu tupate Uhuru.
Rais Samia amekataa kuuza choroko kwa warehouse recipt Finance ( WRF-Stakabadhi ghalani ) ili kuondoa gharama za uendeshaji anazokatwa Mkulima kupitia AMCOS kwa kuruhusu biashara huria,Nandio maana leo wakulima wa choroko wamempokea Rais Samia kama Mama yao kwa kuipaisha bei ya choroko zao,
Kasi ya Rais Samia imeshangaza wengi hasa wakulima wa mazao ya kibiashara,Bei ya choroko nchi China inafikia US$ 1,581/Tani, karibu Tshs 3,500,000,Bei ipo na ni nzuri nje huenda shida ilikuwa ni haya matozo 232 ambayo Mama Samia aliyoyatoa ndio maana kila kitu ni mseleleko tu.
... Kazi iendelee...
Tuambie Kama nchi zingine Bei hazijapanda kwenye hayo mazao ili tumdemkie huyo mama Kama unavyotaka, vinginevyo tujue tu kuwa upo kwenye siasa chafu za kumsifu mtu kwa Mambo asiyofanya ili kuwatapeli wananchi au kutafuta uteuzi
Ni haki ya raia kupewa taarifa sahihi ya mwenendo wa nchi yao
Kumbuka kwenye Katiba ya mbingu, ipo ibara inasema "USIMSHUHUDIE JIRANI YAKO UONGO"
Huku nilipo bei ilikuwa tsh.900 mkuu. Inawezekana pia,hata huku waliouza kwa magendo Bei ilikuwa hiyo.Mwaka jana bei ilikiwa 800 mkuu,Jamaa yangu ni wakala
Na kweli "kazi ieendelee". Wakati wa "hapa kazitu#", nchi jirani na kwingeneko walikuwa "lockdown". Kwao huko sasa ni njaa na mahitaji makubwa ya mazao ya kilimo. Kwetu sisi matunda ya kutokuweka "lockdown" sasa ndio yanaonekana. Ukichanganya na "diplomasia ya uchumi" hakuna shaka maendeleo kwa kasiRAIS SAMIA AIPAISHA JUU BEI YA CHOROKO KWA 100% TOKA TZS 500|800 FY 2020|21 HADI TZS 1,610 FY2021|22 KWA KILO
_______________________________
Mhe Rais baada ya kufanikiwa kuongeza bei ya Mbaazi kwa zaidi ya 3200%/kg,Pamba kwa zaidi ya 125%/kg Alizeti kwa zaidi ya 120%/kg,Sasa ni zamu ya choroko ambayo nayo kwa mfumo uleule bei yake imepanda kwa zaidi ya 100%/kg, Ukitafuta wastani wa ongezeko la bei kwa mazao yote ya kibiashara yaliyovunwa mpaka sasa utagundua Rais Samia Suluhu Hassan ameongeza kila zao kwa zaidi ya 100%/kg ndani ya kipindi chake hiki kifupi, yaani ameongeza bei mara mbili zaidi ya bei ya awali,Sote ni mashahidi, Wakati bei za bidhaa nyingine mbalimbali ikipanda mwaka hadi mwaka bei ya choroko haijawahi kuvuka Tshs 1,300 kwa zaidi ya mwongo mmoja leo,
Rais pekee mwanamke Barani Africa na Rais wa kwanza Mwanamke EAC, Mama Samia Suluhu Hassan kwakutambua kuwa zaidi ya 80% ya Watanzania anaowaongoza wanategemea kilimo, 58.1% ni wakulima huku 65% ya malighafi zote za Viwandani zinatokana na kilimo na 100% ya chakula chote duniani kinatokana na kilimo huku kilimo kikichangia 27% kwenye Pato la Taifa ( GDP) ,Mama ameamua kuwekeza nguvu kubwa kwenye Uzalishaji na Masoko ya mazao yatokanayo na kilimo,Hii ni tofauti kidogo na watangulizi wake wote tangu tupate Uhuru.
Rais Samia amekataa kuuza choroko kwa warehouse recipt Finance ( WRF-Stakabadhi ghalani ) ili kuondoa gharama za uendeshaji anazokatwa Mkulima kupitia AMCOS kwa kuruhusu biashara huria,Nandio maana leo wakulima wa choroko wamempokea Rais Samia kama Mama yao kwa kuipaisha bei ya choroko zao,
Kasi ya Rais Samia imeshangaza wengi hasa wakulima wa mazao ya kibiashara,Bei ya choroko nchi China inafikia US$ 1,581/Tani, karibu Tshs 3,500,000,Bei ipo na ni nzuri nje huenda shida ilikuwa ni haya matozo 232 ambayo Mama Samia aliyoyatoa ndio maana kila kitu ni mseleleko tu.
... Kazi iendelee...
Akili yako imeji-tune kusikia mabaya ndio ufurahi. Sie tunaolima tunaona mabadiliko.Bwege mtozeni, naona upo kwa mission maalumu,kazana [emoji41]
Huku nilipo bei ilikuwa tsh.900 mkuu. Inawezekana pia,hata huku waliouza kwa magendo Bei ilikuwa hiyo.
Akili yako imeji-tune kusikia mabaya ndio ufurahi. Sie tunaolima tunaona mabadiliko.
Wewe si mkulima, vinginevyo usingetamka maneno hayo. Mfuko unajaa, tofauti unaiona bila kupepesa macho eti mpaka nipate ushuhuda nchi nyingine.... Loooooooo balaaaaaa,.Tuambie Kama nchi zingine Bei hazijapanda kwenye hayo mazao ili tumdemkie huyo mama Kama unavyotaka, vinginevyo tujue tu kuwa upo kwenye siasa chafu za kumsifu mtu kwa Mambo asiyofanya ili kuwatapeli wananchi au kutafuta uteuzi
Ni haki ya raia kupewa taarifa sahihi ya mwenendo wa nchi yao
Kumbuka kwenye Katiba ya mbingu, ipo ibara inasema "USIMSHUHUDIE JIRANI YAKO UONGO"
Naogeza petroli Juu, bidhaa zimepanda Kama zoteRais alivyozipeleka juu gharama za gas ya kupikia majumbani,mafuta ya kupikia,sukari na kadhalika uliandika pia?
Tatizo na ukilema wa nchi hii ni kumtukuza RAIS . Hata pale mtu anapotimiza wajibu wake . Na hata mipango iliyopitishwa na Bunge inapotekelezwa. Watu wamekalia kutukuza cheo cha u Rais !!RAIS SAMIA AIPAISHA JUU BEI YA CHOROKO KWA 100% TOKA TZS 500|800 FY 2020|21 HADI TZS 1,610 FY2021|22 KWA KILO
_______________________________
Mhe Rais baada ya kufanikiwa kuongeza bei ya Mbaazi kwa zaidi ya 3200%/kg,Pamba kwa zaidi ya 125%/kg Alizeti kwa zaidi ya 120%/kg,Sasa ni zamu ya choroko ambayo nayo kwa mfumo uleule bei yake imepanda kwa zaidi ya 100%/kg, Ukitafuta wastani wa ongezeko la bei kwa mazao yote ya kibiashara yaliyovunwa mpaka sasa utagundua Rais Samia Suluhu Hassan ameongeza kila zao kwa zaidi ya 100%/kg ndani ya kipindi chake hiki kifupi, yaani ameongeza bei mara mbili zaidi ya bei ya awali,Sote ni mashahidi, Wakati bei za bidhaa nyingine mbalimbali ikipanda mwaka hadi mwaka bei ya choroko haijawahi kuvuka Tshs 1,300 kwa zaidi ya mwongo mmoja leo,
Rais pekee mwanamke Barani Africa na Rais wa kwanza Mwanamke EAC, Mama Samia Suluhu Hassan kwakutambua kuwa zaidi ya 80% ya Watanzania anaowaongoza wanategemea kilimo, 58.1% ni wakulima huku 65% ya malighafi zote za Viwandani zinatokana na kilimo na 100% ya chakula chote duniani kinatokana na kilimo huku kilimo kikichangia 27% kwenye Pato la Taifa ( GDP) ,Mama ameamua kuwekeza nguvu kubwa kwenye Uzalishaji na Masoko ya mazao yatokanayo na kilimo,Hii ni tofauti kidogo na watangulizi wake wote tangu tupate Uhuru.
Rais Samia amekataa kuuza choroko kwa warehouse recipt Finance ( WRF-Stakabadhi ghalani ) ili kuondoa gharama za uendeshaji anazokatwa Mkulima kupitia AMCOS kwa kuruhusu biashara huria,Nandio maana leo wakulima wa choroko wamempokea Rais Samia kama Mama yao kwa kuipaisha bei ya choroko zao,
Kasi ya Rais Samia imeshangaza wengi hasa wakulima wa mazao ya kibiashara,Bei ya choroko nchi China inafikia US$ 1,581/Tani, karibu Tshs 3,500,000,Bei ipo na ni nzuri nje huenda shida ilikuwa ni haya matozo 232 ambayo Mama Samia aliyoyatoa ndio maana kila kitu ni mseleleko tu.
... Kazi iendelee...