Gobole
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 1,806
- 4,670
Km wakulima wengi hawakulima mwaka jana means Supply imekua ndogo then Demand imekua kubwa, which means price lazima ipande kwakua wanunuzi wapo teyari kulipa bei ya juu kunyang'anyana kidogo kilichopo..Kanda ya ziwa pamba imenunuliwa kwa tsh. 1750, toka tsh. 900 ya mwaka jana. Bahati mbaya wengi hawakulima mwaka jana baada ya kuchoshwa na Bei,mkopo na mvua kubwa zilizopitiliza na ugonjwa wa pamba kuzeeka ( kuwa nyekundu) kabla ya wakati.
supply is inversely proportional to demand.
Na hiki ndicho kilichotokea ht huko duniani, watu walijifungia hawakulima or Kuzalisha wametumia akiba imeisha now wanatafta malighafi kwa bei yoyote...
Na hili limejitokea ht kwa mafuta ya kula kupanda kutoka 3000 kwa Lita mpaka 8000 kwa Lita, or Mbolea kupanda bei...
ila wapiga matarumbeta hawatafuti majibu ya kitaalam wanakuja na mapambio.
Sasa subirini dunia ikawe sawa na covid. wazalishaji wakubwa huko america ya kusini warudi mashambani then tutarudi kuujadili huu uzi.