Rais Samia azipeleka juu Mbaazi, Choroko, Dengu, Ufuta, Alizeti, Kahawa, Karafuu. Kwani wakulima wao wanasemaje?

Rais Samia azipeleka juu Mbaazi, Choroko, Dengu, Ufuta, Alizeti, Kahawa, Karafuu. Kwani wakulima wao wanasemaje?

Hata kama hivyo ndivyo, inamaanisha unacheza katika maeneo ya bahati, nuru, kisimati au nyota ukipenda. Amini utavyoamini, lakini kama ujio wa Mama ndio umeleta bahati ya kupanda bei za mazao ya kibiashara yauzwayo nje ni heri sana. Kwa maana kwa mkulima hoja ni mfuko ujae mapesa. Kumbe basi tulihitaji ujio wa Mama Samia ili mkulima akomboke!
Hizi akili huwa wanakuwa nazo wafuga majini. Kwenye supply and demand unaleta habari za nuru na nyota? Hauko serious
 
Mama atushushie bei ya petrol na dizel walau 1,500 kwa 1,400

Mafuta ya taa iwe 1,000.

Mbona Magufuli aliweza aiseee.
 
RAIS SAMIA AIPAISHA JUU BEI YA CHOROKO KWA 100% TOKA TZS 500|800 FY 2020|21 HADI TZS 1,610 FY2021|22 KWA KILO

Mhe Rais baada ya kufanikiwa kuongeza bei ya Mbaazi kwa zaidi ya 3200%/kg,Pamba kwa zaidi ya 125%/kg Alizeti kwa zaidi ya 120%/kg,Sasa ni zamu ya choroko ambayo nayo kwa mfumo uleule bei yake imepanda kwa zaidi ya 100%/kg, Ukitafuta wastani wa ongezeko la bei kwa mazao yote ya kibiashara yaliyovunwa mpaka sasa utagundua Rais Samia Suluhu Hassan ameongeza kila zao kwa zaidi ya 100%/kg ndani ya kipindi chake hiki kifupi, yaani ameongeza bei mara mbili zaidi ya bei ya awali, Sote ni mashahidi, Wakati bei za bidhaa nyingine mbalimbali ikipanda mwaka hadi mwaka bei ya choroko haijawahi kuvuka Tshs 1,300 kwa zaidi ya mwongo mmoja leo.

Rais pekee mwanamke Barani Africa na Rais wa kwanza Mwanamke EAC, Mama Samia Suluhu Hassan kwakutambua kuwa zaidi ya 80% ya Watanzania anaowaongoza wanategemea kilimo, 58.1% ni wakulima huku 65% ya malighafi zote za Viwandani zinatokana na kilimo na 100% ya chakula chote duniani kinatokana na kilimo huku kilimo kikichangia 27% kwenye Pato la Taifa (GDP) ,Mama ameamua kuwekeza nguvu kubwa kwenye Uzalishaji na Masoko ya mazao yatokanayo na kilimo,Hii ni tofauti kidogo na watangulizi wake wote tangu tupate Uhuru.

Rais Samia amekataa kuuza choroko kwa warehouse recipt Finance (WRF-Stakabadhi ghalani) ili kuondoa gharama za uendeshaji anazokatwa Mkulima kupitia AMCOS kwa kuruhusu biashara huria,Nandio maana leo wakulima wa choroko wamempokea Rais Samia kama Mama yao kwa kuipaisha bei ya choroko zao.

Kasi ya Rais Samia imeshangaza wengi hasa wakulima wa mazao ya kibiashara,Bei ya choroko nchi China inafikia US$ 1,581/Tani, karibu Tshs 3,500,000, Bei ipo na ni nzuri nje huenda shida ilikuwa ni haya matozo 232 ambayo Mama Samia aliyoyatoa ndio maana kila kitu ni mseleleko tu.

Kazi iendelee
Mazao yanapanda kutegemea msimu wa mavuno,ukikuta msimu mavuno yamepatikana mengi bei zinashuka...yakiwa machache kma mwaku huu bei inapanda,dada tuliza genye za kingese
 
RAIS SAMIA AIPAISHA JUU BEI YA CHOROKO KWA 100% TOKA TZS 500|800 FY 2020|21 HADI TZS 1,610 FY2021|22 KWA KILO

Mhe Rais baada ya kufanikiwa kuongeza bei ya Mbaazi kwa zaidi ya 3200%/kg,Pamba kwa zaidi ya 125%/kg Alizeti kwa zaidi ya 120%/kg,Sasa ni zamu ya choroko ambayo nayo kwa mfumo uleule bei yake imepanda kwa zaidi ya 100%/kg, Ukitafuta wastani wa ongezeko la bei kwa mazao yote ya kibiashara yaliyovunwa mpaka sasa utagundua Rais Samia Suluhu Hassan ameongeza kila zao kwa zaidi ya 100%/kg ndani ya kipindi chake hiki kifupi, yaani ameongeza bei mara mbili zaidi ya bei ya awali, Sote ni mashahidi, Wakati bei za bidhaa nyingine mbalimbali ikipanda mwaka hadi mwaka bei ya choroko haijawahi kuvuka Tshs 1,300 kwa zaidi ya mwongo mmoja leo.

Rais pekee mwanamke Barani Africa na Rais wa kwanza Mwanamke EAC, Mama Samia Suluhu Hassan kwakutambua kuwa zaidi ya 80% ya Watanzania anaowaongoza wanategemea kilimo, 58.1% ni wakulima huku 65% ya malighafi zote za Viwandani zinatokana na kilimo na 100% ya chakula chote duniani kinatokana na kilimo huku kilimo kikichangia 27% kwenye Pato la Taifa (GDP) ,Mama ameamua kuwekeza nguvu kubwa kwenye Uzalishaji na Masoko ya mazao yatokanayo na kilimo,Hii ni tofauti kidogo na watangulizi wake wote tangu tupate Uhuru.

Rais Samia amekataa kuuza choroko kwa warehouse recipt Finance (WRF-Stakabadhi ghalani) ili kuondoa gharama za uendeshaji anazokatwa Mkulima kupitia AMCOS kwa kuruhusu biashara huria,Nandio maana leo wakulima wa choroko wamempokea Rais Samia kama Mama yao kwa kuipaisha bei ya choroko zao.

Kasi ya Rais Samia imeshangaza wengi hasa wakulima wa mazao ya kibiashara,Bei ya choroko nchi China inafikia US$ 1,581/Tani, karibu Tshs 3,500,000, Bei ipo na ni nzuri nje huenda shida ilikuwa ni haya matozo 232 ambayo Mama Samia aliyoyatoa ndio maana kila kitu ni mseleleko tu.

Kazi iendelee
Mama anajua.Na ni lazima KILIMOKWANZA akirudishe.

Mama endelea kuupiga mwingi.
 
Km wakulima wengi hawakulima mwaka jana means Supply imekua ndogo then Demand imekua kubwa, which means price lazima ipande kwakua wanunuzi wapo teyari kulipa bei ya juu kunyang'anyana kidogo kilichopo..
supply is inversely proportional to demand.

Na hiki ndicho kilichotokea ht huko duniani, watu walijifungia hawakulima or Kuzalisha wametumia akiba imeisha now wanatafta malighafi kwa bei yoyote...

Na hili limejitokea ht kwa mafuta ya kula kupanda kutoka 3000 kwa Lita mpaka 8000 kwa Lita, or Mbolea kupanda bei...
ila wapiga matarumbeta hawatafuti majibu ya kitaalam wanakuja na mapambio.

Sasa subirini dunia ikawe sawa na covid. wazalishaji wakubwa huko america ya kusini warudi mashambani then tutarudi kuujadili huu uzi.
Hivi unajua bei ya nafaka ilivyokuwa kipindi cha Kikwete?Nafaka kama choroko,dengu,mbaazi,ufuta,na hata mchele bei zilikuwaje?.
Wewe kama siyo mkulima ndugu bora tu ukae kimya.
KILIMOKWANZA kilifanya vizuri sana.Unadhani korona ilikuwepo hata mazao ya kauzwa kwa bei za juu?.
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.
 
Jibu swali langu acha hoja zako za kitoto hizo hayo mazao hata yangechukua miaka 200 bado circle ya mazao itakuwepo kila mwaka kwa sababu wakati wewe unapanda leo wenzio walisha panda mwaka jana na wengine mwaka juzi na wengine miaka 10 iliyo pita hivyo circle ya mazao itakuwepo kila mwaka, miaka 4.5 iliyo pita soko la mazoa tanzania lilidorola hasa kwa mazao yanayo tegemea sana soko la nje lakini pia hadi mahindi ambayo ni ya miezi mitatu hadi sita kuvuna yalidorora unataka kuniambia nini wewe !? Hata kama una mapenzi na mwendazake lazima tukubaliane kwamba kwenye uchuni wa nchi sera na falsafa yake iliharibu sana uchumi wa kijamii, yeye alikuwa anafurahia pesa kujaa hazina wakati hazipo kwenye mzunguko.
Ndugu wachawi wa mama ndiyo hawa sasa.
 
Jibu swali langu acha hoja zako za kitoto hizo hayo mazao hata yangechukua miaka 200 bado circle ya mazao itakuwepo kila mwaka kwa sababu wakati wewe unapanda leo wenzio walisha panda mwaka jana na wengine mwaka juzi na wengine miaka 10 iliyo pita hivyo circle ya mazao itakuwepo kila mwaka, miaka 4.5 iliyo pita soko la mazoa tanzania lilidorola hasa kwa mazao yanayo tegemea sana soko la nje lakini pia hadi mahindi ambayo ni ya miezi mitatu hadi sita kuvuna yalidorora unataka kuniambia nini wewe !? Hata kama una mapenzi na mwendazake lazima tukubaliane kwamba kwenye uchuni wa nchi sera na falsafa yake iliharibu sana uchumi wa kijamii, yeye alikuwa anafurahia pesa kujaa hazina wakati hazipo kwenye mzunguko.
Hoja zako zaonesha kiwango chako cha ufahamu wa "supply & demand"
 
Hata mbaazi sasa bei ipo juu, ikumbukwe kuwa Kuna mwaka hakukuwa na soko kabisa, watu waliambiwa wale wenyewe kwani ni mboga, watu wakaamua kuziacha huko mashambani
Nimeuza Tani 105 pale Afrisian kwa bei ya 1620 kwa kilo
 
RAIS SAMIA AIPAISHA JUU BEI YA CHOROKO KWA 100% TOKA TZS 500|800 FY 2020|21 HADI TZS 1,610 FY2021|22 KWA KILO

Mhe Rais baada ya kufanikiwa kuongeza bei ya Mbaazi kwa zaidi ya 3200%/kg,Pamba kwa zaidi ya 125%/kg Alizeti kwa zaidi ya 120%/kg,Sasa ni zamu ya choroko ambayo nayo kwa mfumo uleule bei yake imepanda kwa zaidi ya 100%/kg, Ukitafuta wastani wa ongezeko la bei kwa mazao yote ya kibiashara yaliyovunwa mpaka sasa utagundua Rais Samia Suluhu Hassan ameongeza kila zao kwa zaidi ya 100%/kg ndani ya kipindi chake hiki kifupi, yaani ameongeza bei mara mbili zaidi ya bei ya awali, Sote ni mashahidi, Wakati bei za bidhaa nyingine mbalimbali ikipanda mwaka hadi mwaka bei ya choroko haijawahi kuvuka Tshs 1,300 kwa zaidi ya mwongo mmoja leo.

Rais pekee mwanamke Barani Africa na Rais wa kwanza Mwanamke EAC, Mama Samia Suluhu Hassan kwakutambua kuwa zaidi ya 80% ya Watanzania anaowaongoza wanategemea kilimo, 58.1% ni wakulima huku 65% ya malighafi zote za Viwandani zinatokana na kilimo na 100% ya chakula chote duniani kinatokana na kilimo huku kilimo kikichangia 27% kwenye Pato la Taifa (GDP) ,Mama ameamua kuwekeza nguvu kubwa kwenye Uzalishaji na Masoko ya mazao yatokanayo na kilimo,Hii ni tofauti kidogo na watangulizi wake wote tangu tupate Uhuru.

Rais Samia amekataa kuuza choroko kwa warehouse recipt Finance (WRF-Stakabadhi ghalani) ili kuondoa gharama za uendeshaji anazokatwa Mkulima kupitia AMCOS kwa kuruhusu biashara huria,Nandio maana leo wakulima wa choroko wamempokea Rais Samia kama Mama yao kwa kuipaisha bei ya choroko zao.

Kasi ya Rais Samia imeshangaza wengi hasa wakulima wa mazao ya kibiashara,Bei ya choroko nchi China inafikia US$ 1,581/Tani, karibu Tshs 3,500,000, Bei ipo na ni nzuri nje huenda shida ilikuwa ni haya matozo 232 ambayo Mama Samia aliyoyatoa ndio maana kila kitu ni mseleleko tu.

Kazi iendelee
Hebu nieleweshe amefanya Nini mpaka Bei ikapanda?

Nje ya market forces yaani demand and supply Bei haiwezi kupanda naomba kueleweshwa
 
Huyu Mama mbona kama anakuja kasi sana aise

Kila kona Samia, Samia

Wakulima mwaka huu wananunua mabati balaa kumbe mama kawafurahisha
Mafuta Shilingi ngapi kwa sasa?
Unalipa tozo?
 
Acha kutisha wewe kama Tanzania imepanda na mwandishi anasema bei imepanda kosa Lake liko wapi?
Kosa lake ni kusema Rais ndio amepandisha bei, ina maana hata bei za mafuta ni yeye amezipandisha pia?
 
Haya mambo yanaamuliwa na Demand vs Supply sio na mtu...ht enzi za JPM korosho ilifika mpaka 4000 kwa kilo then ika drop na haijawahi kufika hapo tena...bei ktk soko la dunia ikipanda lazima na huku ipande, leo mnamsifia kesho bei ktk soko la dunia ikishuka mtatafta pa kuficha nyuso zenu. So mjitahidi kuweka akiba ya maneno.
Ni vilaza wenye kubeba vichwa kama mifuko ya kuhifadhia meno tu.
 
Naunga Juhudi za Samia Leo hata kesho,
Mimi ni nani nisiome haya,

Watu hawatekwi tena,
Maiti hazikutwi tena Baharini,
Wanasiasa wako huru wanafurahi na familia zao,

Wakulima wanashangilia bei ya mazao yao,

Bodaboda faini ten tu,

Umeme elfu 27 na nguzo hulipi,

Ivi mnatakaje wengine?
Apandishe na bei ya mahindi
 
Back
Top Bottom