Rais Samia azipeleka juu Mbaazi, Choroko, Dengu, Ufuta, Alizeti, Kahawa, Karafuu. Kwani wakulima wao wanasemaje?

Rais Samia azipeleka juu Mbaazi, Choroko, Dengu, Ufuta, Alizeti, Kahawa, Karafuu. Kwani wakulima wao wanasemaje?

Acha kutisha wewe kama Tanzania imepanda na mwandishi anasema bei imepanda kosa Lake liko wapi?
Kosa lake ni kutaka kutuaminisha kuwa Bei zimepanda kwa jitihada za Rais, ilhali kwingineko duniani zimepanda pia

Mazao yakipanda Bei ni jitihada za Rais
Mafuta yakipanda Bei ni athari za soko la dunia
 
Hizi akili huwa wanakuwa nazo wafuga majini. Kwenye supply and demand unaleta habari za nuru na nyota? Hauko serious
Hivi uliandika huko nyuma:
"T14 Armata said:
Hizo sababu ulizotaja hapo ndio zimefanya bei ipande. Hizo unazoita bahati mbaya ndio zimeamua soko, sio mama Samia"

Nashukuru kuwa safari hii umekuja na factor za kitaalam. Nakuomba malizia factor zote. Hapo ulipoandika "SIO MAMA SAMIA" , JARIBU KUFIKIRIA SABABU ZA KISIASA. Uwanja ni wako, jimwage.
 
Mahindi bado amboni tsh. 1800-2000
Soko la Kenya bado halijaiva. Kule walikokimbilia kununua mahindi bado hawajamaliziana nao. Subira inatakiwa. Wanaangalia uwezekana wa kupeleka Sudan.

JITIHADA KALI SANA ZINAFANYIKA, kuweni wapole.
 
Haya mambo yanaamuliwa na Demand vs Supply sio na mtu...ht enzi za JPM korosho ilifika mpaka 4000 kwa kilo then ika drop na haijawahi kufika hapo tena...bei ktk soko la dunia ikipanda lazima na huku ipande, leo mnamsifia kesho bei ktk soko la dunia ikishuka mtatafta pa kuficha nyuso zenu. So mjitahidi kuweka akiba ya maneno.
Heee, Gobole upo! Demand na Supply! Unanikumbusha nadharia za Shule, wasomi mna mambo. Kama demand na supply imekwenda vizuri baada ya Mama kuingia madarakani si ajabu tukitampa mi-5 mingine au sio........
 
Unajua bei ya Mpunga, na mahindi watu wanavyoteseka alaf na ilivyo gharama sasa kuzilima..
unajua bei ya mafuta ya kula, mbolea, nondo, bati, cement na mm nitaendelea..
yaan sasa hv et niuze gunia 2 za mpunga ndio ninunue mfuko mmoja wa mbole. shame on you
 
Rais Samia ni mpango halisi wa Mungu,Mungu wetu hakawii wala hawai ni huyuhuyu tumepewa tumlinde,
 
Mama anatoa Tsh 23.8BL kwaajili ya elimu bure | Mimi Mama Samia hata akiongoza hadi 2035 ni poa tu,
 
Huyu Chifu Hangaya atakuwa matata sana... Yaani kaongezaje ongezaje hizo bei sasa??
 
Ndani ya Uongozi wa Rais Samia,
Mahakama huru,
Bunge huru,
NGOs huru
Media huru

TanzaniakwaniSisi tunatakaje?
 
Unajua bei ya Mpunga, na mahindi watu wanavyoteseka alaf na ilivyo gharama sasa kuzilima..
unajua bei ya mafuta ya kula, mbolea, nondo, bati, cement na mm nitaendelea..
yaan sasa hv et niuze gunia 2 za mpunga ndio ninunue mfuko mmoja wa mbole. shame on you
Mimi napenda mpunga uwe chini ili wapenda mchele tuendelee kifaidi ..ila tatizo ukiendelea kuwa chini na ninyi wakulima mtaacha kulima ..haaaa yani biashara ya kilimo ni kazi haswa.
Tuwe na subira ndugu zanguni sisi ni matajiri sana.
 
Heee, Gobole upo! Demand na Supply! Unanikumbusha nadharia za Shule, wasomi mna mambo. Kama demand na supply imekwenda vizuri baada ya Mama kuingia madarakani si ajabu tukitampa mi-5 mingine au sio........
Kwa namna hii kuliongoza hili taifa ni kazi ndogo sana aise. Maana vichwa vyenu vyingi vinakamatika kirahisi mnoo mnaa akili za kushikiwa.
 
Kanda ya ziwa pamba imenunuliwa kwa tsh. 1750, toka tsh. 900 ya mwaka jana. Bahati mbaya wengi hawakulima mwaka jana baada ya kuchoshwa na Bei,mkopo na mvua kubwa zilizopitiliza na ugonjwa wa pamba kuzeeka ( kuwa nyekundu) kabla ya wakati.
Bei ya pamba ilitangazwa mapema tu hata kabla ya kifo cha magu

Na mwaka jana bei ilikuwa chini kutokana na solo la dunia kushuka
 
'Sijaona nchi iliyoendelea kwa kuuza mali ghafi' Magufuli.
Sisi twangoja tusifie inapofikia Mtanzania anauza nguo China, badala ya pamba!
 
Bei ya pamba ilitangazwa mapema tu hata kabla ya kifo cha magu

Na mwaka jana bei ilikuwa chini kutokana na solo la dunia kushuka
Bei elekezi I iliyotangazwa ni tsh. 900-1100. Hapo kuna makato ya amcos
 
Bei elekezi I iliyotangazwa ni tsh. 900-1100. Hapo kuna makato ya amcos
Acha kuzungumza usicho kifahamu bei elekezi ni 1,100 kwa mkulima ila inaweza kupanda zaidi ya hapo (mfano huko mwanza, simiyu wamenunuliwa hadi 1250-1300)
AMCOS hana Makato yoyote kwenye pamba zaidi ya ushuru wake tsh 35 na chama kikuu tsh 10 kwa kilo

Labda unambie kuna Makato gani ya AMCOS na yanakatwa wap?
 
Acha kuzungumza usicho kifahamu bei elekezi ni 1,100 kwa mkulima ila inaweza kupanda zaidi ya hapo (mfano huko mwanza, simiyu wamenunuliwa hadi 1250-1300)
AMCOS hana Makato yoyote kwenye pamba zaidi ya ushuru wake tsh 35 na chama kikuu tsh 10 kwa kilo

Labda unambie kuna Makato gani ya AMCOS na yanakatwa wap?
Mimi ninalima pamba... nafahamu ninachoongea. Wewe unayepata taarifa mitandaoni ni juu yako kubisha na kupotosha wengine kwa chuki au maslahi yako. Unasema hana mapato alafu unasema ushuru? Ushuru sio makato?
 
Back
Top Bottom