Kwenye Kilimo, Mama anaenda vizuri. kila zao huku Morogoro lipo juu. Karafuu Morogoro kg ni elfu 13,000 toka elfu 5,000 miaka iliopita, iliki kg ni elfu 20,000, pilipili manga kg ni elfu 7,000 toka elfu 3,000 miaka iliyopita. nimeona kwa mara ya kwanza ndizi ambazo zilikosa soko kabisa huku morogoro kwa miaka mitatu iliyopita sasa zimeanza kutafutwa. mbaazi na ufuta huku sasa bei nzuri, mbaazi imefika kg 1 kwa tsh 1,ooo ambalo plastiki la kg 20, ni tsh 20,000. Kwa miezi 5 ya uongozi wake nasema anatisha kwenye kilimo.