Rais Samia: Bado ninaisikia sauti ya Hayati Magufuli akiniambia kuhusu miradi na Dodoma kuwa Makao Makuu

Si alishakufa huyo? Anatoaje sauti? Akamatwe mara moja kumbe bado anazungumza kisiri siri sisi hatujui
 
Sauti ipi hio ya kufanya ziara wakati mwenzao anaumwa na hadi kufa na kusema yupo anapiga kazi au. Sijawahi kuona mwenzenu anaumwa nyie mnazurura na kula posho Kuna watu wakatili sana sana
 
Kuna kale ka kikundi ka wasiojielewa, wao wana maoni gani katika hili!!
 
Sio huyu aliyesema akiwa ughaibuni kwamba JPM alikuwa anamu-undermine ?!!!!

By the way so called miradi ya mtu na sio ya Watanzania ndio inafanya watu wasione hivi vitu ni mali yao..., na kama ni mali ya watanzania kwanini sauti ikutese; kwanini usifanye sababu ndicho kilichokuweka hapo / kazi yako...
 
Mama mjanja sana, anatafuta kura za sukumagang...
Kwani siyo kweli kuna miradi mikubwa ya mtangulizi wake anaiendeleza kwa kasi? Jibu ipo. Pia, Mhe. Rais alipoapa alitueleza raia wake; hakuna mradi ulioanzishwa na mtangulizi wake utakwama. Sasa hii ya kutafuta kura inatoka wapi? Tatu, hayo majina ya kikabila achana nayo si mazuri kwani hayajengi taifa. Binafsi nachukizwa na hiyo kitu mnaita 'Sukuma nini sijui🙏🙏🙏
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…