Rais Samia: Bado ninaisikia sauti ya Hayati Magufuli akiniambia kuhusu miradi na Dodoma kuwa Makao Makuu

Rais Samia: Bado ninaisikia sauti ya Hayati Magufuli akiniambia kuhusu miradi na Dodoma kuwa Makao Makuu

Aliona raha kuwabana pumbu wenzake , Siku ilipofika vijana wa kazi wakamweka sawa ,walimbana kisawasawa , mwisho ikabaki kutembezwa mitaani kwenye sanduku Kama bidhaa
Sasa mbona mnalalamika, kama aliwaondoa nayeye kaondoka shida iko wapi? Wewe uliyebaki unalalamika ndo una matatizo!
 
Mbona hakujifuatilia alipompa tenda Bwana shemegi ya kujenga uwanja wa ndege wa CHato?

La maana aliwajengea wanga wa Chato uwanja badala ya kurushia nyungo zao vichakani
Kale kauwanja kanawapigisha kelele kama matahaira! Mlidhani kuwaachia mashimo tu kwa kusomba dhahabu yote bila kuwaachia kitu?
Mwache alijiongeza maana Geita yote haina kitu ardhini, imebaki mahandaki
 
Kale kauwanja kanawapigisha kelele kama matahaira! Mlidhani kuwaachia mashimo tu kwa kusomba dhahabu yote bila kuwaachia kitu?
Mwache alijiongeza maana Geita yote haina kitu ardhini, imebaki mahandaki

Na wachawi wanaruka kupitia uwanjani badala ya kutumia kutokea vichakani
 
Sasa mbona mnalalamika, kama aliwaondoa nayeye kaondoka shida iko wapi? Wewe uliyebaki unalalamika ndo una matatizo!

Nani kalalamika? Tunawaamsha nyinyi mliorogwa Na nyimbo zake
 
Rais Samia leo akiwa anaweka jiwe la msingi kwenye ujenzi wa barabara za Pete (Ring Road) jijini Dodoma amesema bado sauti ya mtangulizi wake Hayati Magufuli anaisikia ikimtaka akamilishe miradi yote aliyoiacha, ikiwemo huo wa ujenzi wa Barabara za Ring Roads zitakazowezesha kuipanga na kuipendezesha jiji la Dodoma.

Rais Samia amesema ameachiwa urithi mzito wa kukamilisha miradi yote na atafanya kama alivyowaahidi Watanzania kuwa hakuna hata mradi mmoja utakaoshindwa kukamilika na wananchi wasiwe na wasiwasi.
 
Rais Samia leo akiwa anaweka jiwe la msingi kwenye ujenzi wa barabara za pete(ring road) jijini Dodoma amesema bado sauti ya mtangulizi wake hayati Magufuli anaisikia ikimtaka akamilishe miradi yote aliyoiacha, ikiwemo huo wa ujenzi wa barabara za ring roads zitakazowezesha kuipanga na kuipendezesha jiji la Dodoma.

Rais Samia amesema ameachiwa urithi mzito wa kukamilisha miradi yote na atafanya kama alivyowaahidi watanzania kuwa hakuna hata mradi mmoja utakaoshindwa kukamilika na wananchi wasiwe na wasiwasi.
He he he heee ngoja nicheke Kwanza Nita coment baadae. Nikishaongea na mods.
 
Back
Top Bottom