Pre GE2025 Rais Samia, CHADEMA wakikashifu mamlaka waonywe, wakiachwa wanajenga usugu, watasumbua

Pre GE2025 Rais Samia, CHADEMA wakikashifu mamlaka waonywe, wakiachwa wanajenga usugu, watasumbua

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Rais wetu na vyombo vya ulinzi na usalama nchini,

Salaàm!

Nimefuatilia mienendo ya kukijenga chama cha CDM hapa nchini - iko wazi kuwa CDM wanatumia njia hiyo kama sehemu ya haki yao ya kukusanyika, kuandamana, kuongea na kutoa maoni.

Kinachonipa mashaka ni iwapo wanatumia forum HIYO kistarabu
* Kashfa kwa baadhi ya viongozi waliofariki zimekuwa nyingi;

* Kashfa kwa viongozi walioko madarakani zimekuwa nyingi - hususan uzanzibari, kuondolewa kwa maasai ngorongoro, dp world nk

Maridhiano si matusi, dhihaka na kuzua uongo. CDM wasipodhibitiwa mapema hapo baadae watajenga usugu.
mnaanza kuogopa? sasa kama chadema imepasuka mnaogopa nini? rubbish
 
Rais wetu na vyombo vya ulinzi na usalama nchini,

Salaàm!

Nimefuatilia mienendo ya kukijenga chama cha CDM hapa nchini - iko wazi kuwa CDM wanatumia njia hiyo kama sehemu ya haki yao ya kukusanyika, kuandamana, kuongea na kutoa maoni.

Kinachonipa mashaka ni iwapo wanatumia forum HIYO kistarabu
* Kashfa kwa baadhi ya viongozi waliofariki zimekuwa nyingi;

* Kashfa kwa viongozi walioko madarakani zimekuwa nyingi - hususan uzanzibari, kuondolewa kwa maasai ngorongoro, dp world nk

Maridhiano si matusi, dhihaka na kuzua uongo. CDM wasipodhibitiwa mapema hapo baadae watajenga usugu.
Hakuna mamlaka inayopatikana kwa kupora chaguzi za nchi. Sema hayo ni majizi yaliyo madarakani, hata wakipewa ukweli hakuna shida.
 
Rais wetu na vyombo vya ulinzi na usalama nchini,

Salaàm!

Nimefuatilia mienendo ya kukijenga chama cha CDM hapa nchini - iko wazi kuwa CDM wanatumia njia hiyo kama sehemu ya haki yao ya kukusanyika, kuandamana, kuongea na kutoa maoni.

Kinachonipa mashaka ni iwapo wanatumia forum HIYO kistarabu
* Kashfa kwa baadhi ya viongozi waliofariki zimekuwa nyingi;

* Kashfa kwa viongozi walioko madarakani zimekuwa nyingi - hususan uzanzibari, kuondolewa kwa maasai ngorongoro, dp world nk

Maridhiano si matusi, dhihaka na kuzua uongo. CDM wasipodhibitiwa mapema hapo baadae watajenga usugu.
1714528620626.jpg

Kwahiyo tusi linakuwa na kitambulisho sio muda utaanza kuokota makopo
 
Rais wetu na vyombo vya ulinzi na usalama nchini,

Salaàm!

Nimefuatilia mienendo ya kukijenga chama cha CDM hapa nchini - iko wazi kuwa CDM wanatumia njia hiyo kama sehemu ya haki yao ya kukusanyika, kuandamana, kuongea na kutoa maoni.

Kinachonipa mashaka ni iwapo wanatumia forum HIYO kistarabu
* Kashfa kwa baadhi ya viongozi waliofariki zimekuwa nyingi;

* Kashfa kwa viongozi walioko madarakani zimekuwa nyingi - hususan uzanzibari, kuondolewa kwa maasai ngorongoro, dp world nk

Maridhiano si matusi, dhihaka na kuzua uongo. CDM wasipodhibitiwa mapema hapo baadae watajenga usugu.
Kwa mujibu wa mafisiem hayo ndiyo matusi
1714744761776.jpg
 
Rais wetu na vyombo vya ulinzi na usalama nchini,

Salaàm!

Nimefuatilia mienendo ya kukijenga chama cha CDM hapa nchini - iko wazi kuwa CDM wanatumia njia hiyo kama sehemu ya haki yao ya kukusanyika, kuandamana, kuongea na kutoa maoni.

Kinachonipa mashaka ni iwapo wanatumia forum HIYO kistarabu
* Kashfa kwa baadhi ya viongozi waliofariki zimekuwa nyingi;

* Kashfa kwa viongozi walioko madarakani zimekuwa nyingi - hususan uzanzibari, kuondolewa kwa maasai ngorongoro, dp world nk

Maridhiano si matusi, dhihaka na kuzua uongo. CDM wasipodhibitiwa mapema hapo baadae watajenga usugu.
Hebu punguza jazba na upumbavu.Hivi kama hao unaowatetea wangeendesha nchi kwa mujibu wa Katiba waliyoapa kuilinda na kuitetea hayo mambo ya CHADEMA kuwasema vibaya viongozi yangetoka wapi?Tafadhari rejea utawala wa Awamu ya Tatu baada ya kujibu mashambulizi ya NCCR-MAGEUZI,CUF na TLP kwa matendo na mfano mzuri nani alipoteza kupambana na hiyo awamu?Ndiyo maana Kikwete alipata kura 2005 bila CCM kuiba kura.
 
Rais wetu na vyombo vya ulinzi na usalama nchini,

Salaàm!

Nimefuatilia mienendo ya kukijenga chama cha CDM hapa nchini - iko wazi kuwa CDM wanatumia njia hiyo kama sehemu ya haki yao ya kukusanyika, kuandamana, kuongea na kutoa maoni.

Kinachonipa mashaka ni iwapo wanatumia forum HIYO kistarabu
* Kashfa kwa baadhi ya viongozi waliofariki zimekuwa nyingi;

* Kashfa kwa viongozi walioko madarakani zimekuwa nyingi - hususan uzanzibari, kuondolewa kwa maasai ngorongoro, dp world nk

Maridhiano si matusi, dhihaka na kuzua uongo. CDM wasipodhibitiwa mapema hapo baadae watajenga usugu.
Mama fungal haooo tumeishi kama tuko mbinguni 2015 mpaka 2021 wasikuchezee wape dosi ya magu wanyooke watoee 2026 wagoner tena uchaguzi

Ati atutashiriki uchaguzi pesa shetani
 
Rais wetu na vyombo vya ulinzi na usalama nchini,

Salaàm!

Nimefuatilia mienendo ya kukijenga chama cha CDM hapa nchini - iko wazi kuwa CDM wanatumia njia hiyo kama sehemu ya haki yao ya kukusanyika, kuandamana, kuongea na kutoa maoni.

Kinachonipa mashaka ni iwapo wanatumia forum HIYO kistarabu
* Kashfa kwa baadhi ya viongozi waliofariki zimekuwa nyingi;

* Kashfa kwa viongozi walioko madarakani zimekuwa nyingi - hususan uzanzibari, kuondolewa kwa maasai ngorongoro, dp world nk

Maridhiano si matusi, dhihaka na kuzua uongo. CDM wasipodhibitiwa mapema hapo baadae watajenga usugu.
We jamaa bainisha hizo kashfa,nje ña hapo nyie ndo wale chawa wanaosemwa,hoja za Lissu zinahitaji kujibiwa kwa ushahidi na sio mbwelambwela zinazofanyika,kwamfano suala la bandari hakuna kinachoelezwa kinagaubaga,Lissu kauliza kwanini bandari zilizobinafsishwa ni za bara na za Zanzibar hazijawa included,hakuna majibu sasa hapo kakashifu kipi!?.
 
Kama mnaona kuna uongo au upotoshwaji unafanyika si muwapeleke mahakamani? Hoja za hao jamaa ni za kweli na ngumu kujibika. Au unadhani Pogba alikua mjinga kutumia Bunduki badala ya kujibu hoja zake?!
Eti Pogba,watu mna mambo ha ha ha ha ha ha.
 
Rais wetu na vyombo vya ulinzi na usalama nchini,

Salaàm!

Nimefuatilia mienendo ya kukijenga chama cha CDM hapa nchini - iko wazi kuwa CDM wanatumia njia hiyo kama sehemu ya haki yao ya kukusanyika, kuandamana, kuongea na kutoa maoni.

Kinachonipa mashaka ni iwapo wanatumia forum HIYO kistarabu
* Kashfa kwa baadhi ya viongozi waliofariki zimekuwa nyingi;

* Kashfa kwa viongozi walioko madarakani zimekuwa nyingi - hususan uzanzibari, kuondolewa kwa maasai ngorongoro, dp world nk

Maridhiano si matusi, dhihaka na kuzua uongo. CDM wasipodhibitiwa mapema hapo baadae watajenga usugu.
Machawa subirini ,ipo siku mtaona Mungu anavyolipenda Taifa hili , nawaombe muishi mwika mingu ili Muone utukufu wa Mungu juu ya Taifa hili , hamtaamini
 
Machawa subirini ,ipo siku mtaona Mungu anavyolipenda Taifa hili , nawaombe muishi mwika mingu ili Muone utukufu wa Mungu juu ya Taifa hili , hamtaamini
Ukimwona mwenzako ni chawa basi wewe waweza kuwa kiroboto
 
Back
Top Bottom