Hakuna tatizo kwa Mama kumwambia mwanae ukweli.Mtoto anaangali baba yake anaambiwa hajakua mbele ya Kadamnasi. WTF
Hii inathibitisha kuwa Mama anampenda mwanae ndio maana kamwambia ukweli maana hataki kuona mwanae anaharibikiwa tena.
naamini Mama anamwamini sana kuwa mwanae ni hodari kwa kuchapa kazi.