Rais Samia: Chalamila wewe ni mfanyakazi mzuri ila naomba ukakue

Rais Samia: Chalamila wewe ni mfanyakazi mzuri ila naomba ukakue

Rais Samia amemwambia RC Chalamila kuwa yeye ni mfanyakazi mzuri sana ila ni mtundu mno.

Amesema alimuacha kipindi kilichopita ila anaamini sasa amekua, akili imekua anamuomba aende akakue, amesema asidhani kupata nafasi ndio kamaliza, anamfuatilia kwa karibu sana.
Kwanini ATEULIWE Asiyekua wakati Waliokua Wapo?
 
Raisi yuko Sahihi Chalamila na Makongoro Nyerere wanatakiwa kujua vyeo vikubwa kama vya kuteuliwa na Raisi they need to behave themselves as senior responsible government officials not comedians
Or playboys.Nafasi hizo ni kubwa
hahahahaha

kusimanga walevi ni unyanyasaji wa kistarehe

mlevi ananyanyaswa nchi hii kuliko muasherati
 
Sasa aache kuongea ongea sana. Lazima aishi kama mkuu wa mkoa
 
CCM NI MAFII[emoji117][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji117][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90]
 
Unajua Kuna watu wameumbwa na tabia za vituko,kwamfano mtu Kama Mr Bean unambadilishaje tabia!!
Yaani yeye bila kufanya utani haoni raha.Kwaiyo Mama achague moja kuzika Dodoma au kusafirisha!
 
Vieteee ya Serikali tamu sana

plus visaluti vya hapa na pale vya kamati ya Ulinzi na usalama

wee humuoni Alberto Msando kaanza kuota kitambi
Msando si alikuwa anajifanya ana hela jumbe uzushi tu,mshahara wa RC hauzidi milioni kumi ,Kafulila alikaribia kupasuka kwa unene,watakuwa wanapiga dili na wakurugenzi wa halmashauri
 
Rais Samia amemwambia RC Chalamila kuwa yeye ni mfanyakazi mzuri sana ila ni mtundu mno.

Amesema alimuacha kipindi kilichopita ila anaamini sasa amekua, akili imekua anamuomba aende akakue, amesema asidhani kupata nafasi ndio kamaliza, anamfuatilia kwa karibu sana.
Sasa Bia na Kwaito itakuwaje ?
 
Back
Top Bottom