Hakuna tatizo kwa Mama kumwambia mwanae ukweli.Mtoto anaangali baba yake anaambiwa hajakua mbele ya Kadamnasi. WTF
Hujawahi kula keki ya taifaKwani ikiteuliwa ni lazima ukubali, ya nini kusimangwa kama mtoto kisa ukuu wa mkoa, mbona sie wengine tunaishi hata ukuu wa kaya hatuujui unafananaje
Kwanini ATEULIWE Asiyekua wakati Waliokua Wapo?Rais Samia amemwambia RC Chalamila kuwa yeye ni mfanyakazi mzuri sana ila ni mtundu mno.
Amesema alimuacha kipindi kilichopita ila anaamini sasa amekua, akili imekua anamuomba aende akakue, amesema asidhani kupata nafasi ndio kamaliza, anamfuatilia kwa karibu sana.
Acheni kujidekeza na umama umama.Hakuna tatizo kwa Mama kumwambia mwanae ukweli.
Hii inathibitisha kuwa Mama anampenda mwanae
Halafu anaambiwa hivi utakuta anacheka
Je itumike nataka? au na sema Mimi sipangiwi?Hili neno Naomba huenda linawapa kujisahau wajibu wao wa kazi..!
hahahahahaRaisi yuko Sahihi Chalamila na Makongoro Nyerere wanatakiwa kujua vyeo vikubwa kama vya kuteuliwa na Raisi they need to behave themselves as senior responsible government officials not comedians
Or playboys.Nafasi hizo ni kubwa
JF ina watu wana maneno hatariTena kila jina lake likitajwa anaamka anaweka mikono pamoja na kuinana utadhani mjapani[emoji23][emoji23][emoji23]
Vieteee ya Serikali tamu sanaKwani ikiteuliwa ni lazima ukubali, ya nini kusimangwa kama mtoto kisa ukuu wa mkoa, mbona sie wengine tunaishi hata ukuu wa kaya hatuujui unafananaje
Una uhakika na hicho ulichokiandika?Juzi tu kateuliwa akaanza kuimba Mapambio na Mkewe ya kusherekea .... sasa sijui kakua lini.....!!
inategemeana na namna alivyo mwambiaHalafu anaambiwa hivi utakuta anacheka
Uko sahihi Mama Samia ana wakuu wawili wa mikoa wasioelewa vyeo vya mkuu wa mkoa ni kitu gani wanaoendekeza utoto yuko Chalamila na Makongoro Nyerere they behave like playboys wakati wana umri mkubwaSasa aache kuongea ongea sana. Lazima aishi kama mkuu wa mkoa
Msando si alikuwa anajifanya ana hela jumbe uzushi tu,mshahara wa RC hauzidi milioni kumi ,Kafulila alikaribia kupasuka kwa unene,watakuwa wanapiga dili na wakurugenzi wa halmashauriVieteee ya Serikali tamu sana
plus visaluti vya hapa na pale vya kamati ya Ulinzi na usalama
wee humuoni Alberto Msando kaanza kuota kitambi
Sasa Bia na Kwaito itakuwaje ?Rais Samia amemwambia RC Chalamila kuwa yeye ni mfanyakazi mzuri sana ila ni mtundu mno.
Amesema alimuacha kipindi kilichopita ila anaamini sasa amekua, akili imekua anamuomba aende akakue, amesema asidhani kupata nafasi ndio kamaliza, anamfuatilia kwa karibu sana.