Watu ni wajinga sana ndugu yangu,njaa huwafanya watu kuwa mazuzu.Kwani ikiteuliwa ni lazima ukubali, ya nini kusimangwa kama mtoto kisa ukuu wa mkoa, mbona sie wengine tunaishi hata ukuu wa kaya hatuujui unafananaje
Wewe Kama nani?Mwambieni mhe rais kuwa nasubiri maelezo ya kwann amemtengua Dr. Rafael Chegeni
Inawezekana mjomba yule nae hajakuwa kumbe naye akakue kwanza halafu atakuja kuapishwa.Hata wanawake ukiwauliza wanataka nini wengi hawajui. Acha twende tu hivyo hivyo. Kuba mmoja katumbuliwa kabla ya kuapishwa, sasa na yeye akakue au Kuna sababu nyingine?
Mtanzania mzalendoWewe Kama nani?
Bwana weeeeh!Cheo hicho wanapwaya they don't behave like senior government officers .They just behave like comedians
Tanzania ipi?GENTAMYCINE naomba Rais wa Tanzania baada ya Uchaguzi Mkuu wa 2025 akishaapishwa tu aende ( apelekwe ) haraka katika induction course hata ya Wiki Mbili ili akapikwe vyema jinsi ya Kuwasilisha Jambo Kimantiki, kufanya 'Public Speaking' na Kutumia 'Akili Kubwa' katika kupeleka Ujumbe ili asije Kudharauliwa na Kuonekana ni Kituko kwa Watanzania 'Great Thinkers' wachache waliopo.
Huyo kapekekwa Katerero huko akapige keleleGENTAMYCINE naomba Rais wa Tanzania baada ya Uchaguzi Mkuu wa 2025 akishaapishwa tu aende ( apelekwe ) haraka katika induction course hata ya Wiki Mbili ili akapikwe vyema jinsi ya Kuwasilisha Jambo Kimantiki, kufanya 'Public Speaking' na Kutumia 'Akili Kubwa' katika kupeleka Ujumbe ili asije Kudharauliwa na Kuonekana ni Kituko kwa Watanzania 'Great Thinkers' wachache waliopo.
Ni kwa Watani zangu Kagera nimechanganya na Mwanza nilikokuzoea.Chalamila ni RC wa Mwanza?[emoji23][emoji23][emoji23]
Kagera kwa Watani zangu Wakubwa Wahaya nimepitiwa hapo. Tujikite katika Hoja ya Msingi ambayo ni zaidi ya Mimi Kuuchanganya ( Kuukosea ) Mkoa.Mwanza?
Mkuu Wahaya siku hizi Wamestaarabika na hawana yale Mauzauza yao tuliyoyazoea hasa pale Msasani Maandazi Road, Temeke mkabala na Hospitali na Mwananyamala.Huyo kapekekwa Katerero huko akapige kelele
Sio, noma sanaMko mnaangalia TV halafu mnasikia baba yenu anaambiwa akue
Inamaana CCM yamebaki maboya matupu hivyo anapata shida kuyachagua mengine!Rais Samia amemwambia RC Chalamila kuwa yeye ni mfanyakazi mzuri sana ila ni mtundu mno.
Amesema alimuacha kipindi kilichopita ila anaamini sasa amekua, akili imekua anamuomba aende akakue, amesema asidhani kupata nafasi ndio kamaliza, anamfuatilia kwa karibu sana.
Raisi yuko Sahihi Chalamila na Makongoro Nyerere wanatakiwa kujua vyeo vikubwa kama vya kuteuliwa viwe ukuu wa mkoa etc na Raisi they need to behave themselves as senior responsible government officials not as comedians Or playboys.Nafasi hizo ni kubwa
Na mtangulizi wake yaani mwendazake alikuwa na utani wa kishamba sana hadi akawa anamkuwadia Saa100 kwa wageni wa kimataifa waliokuwa ukumbini akidai ni mzuri na kuwasifia wanawake weupe mfano yule mgombea ubunge mwanamke wa Temeke.Mteuzi mwenyewe ndiye huyo amewahi kusema macho yake yamelegea! How do you take that?
Rais mwenyewe ana akili za kisichana za "sitaki nataka" hilo likatiba lililomweka madarakani ni libaya mno.Kama hii ndio sababu ya kupewa ukuu wa Mkoa Chalamila basi tutegemee siku yoyote atatemeshwa, huwezi kubadilisha tabia ya mtu kisa umempa cheo.
Kwanini Rais asitafute wasio na huo upungufu maisha yanendelee? hakuna zaidi ya Chalamila? kwa hili namshangaa Rais, wala simshangai Chalamila.
Very funny!