Gypsum Screw
JF-Expert Member
- Jun 10, 2024
- 701
- 895
samia hatoshinda na wala mumeo januari hatoshinda piaSamia akishinda urais 2025, "nitajisaidia" uwanja wa mkapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
samia hatoshinda na wala mumeo januari hatoshinda piaSamia akishinda urais 2025, "nitajisaidia" uwanja wa mkapa
Taifa gani?Rais Samia amewataka Viongozi Wote kutanguliza maslahi ya Taifa mbele kabla ya maslahi yao na kwamba Wezi hawana nafasi kwenye Serikali yake
Madaraka ni Sawa na Nguo ya kuazima ambayo Siku yoyote mmiliki wa Nguo anaweza kuichukua, amesisitiza mh Rais
Source: Ayo TV
Nawatakia Sabato Njema 😄
Mbona anaiba kura sasa. Aache wananchi 2025 tuchukuwe nguo yetu tuliyomwazima.Rais Samia amewataka Viongozi Wote kutanguliza maslahi ya Taifa mbele kabla ya maslahi yao na kwamba Wezi hawana nafasi kwenye Serikali yake
Madaraka ni Sawa na Nguo ya kuazima ambayo Siku yoyote mmiliki wa Nguo anaweza kuichukua, amesisitiza mh Rais
Source: Ayo TV
Nawatakia Sabato Njema 😄
2025 tunachukua nguo yetu ya urais halafu tunamvalisha Tundu Antipas Lissu .Madaraka ni Sawa na Nguo ya kuazima ambayo Siku yoyote mmiliki wa Nguo anaweza kuichukua, amesisitiza mh Rais
Ujumbe unamhusu Nape pale anaposema bila yeye Lowassa angeingia ikulu, yaani aachiwe afanye kila aina ya upuuzi kisa kalala porini mwaka 2015 wakati wa kipindi cha kampeni!.Rais Samia amewataka Viongozi Wote kutanguliza maslahi ya Taifa mbele kabla ya maslahi yao na kwamba Wezi hawana nafasi kwenye Serikali yake
Madaraka ni Sawa na Nguo ya kuazima ambayo Siku yoyote mmiliki wa Nguo anaweza kuichukua, amesisitiza mh Rais
Source: Ayo TV
Nawatakia Sabato Njema 😄
Labda iwe ni kwa fitina za kundi la Kikwete na fitina za kina Makamba, anafanya mengi sana huko mikoani na anaweza kushinda kwa kishindo kuliko alivyoshinda JPM mwaka 2015.Hata Samia mwenyewe asitambe sana. 2025 hatoboi
Jiwe a.k.a kichaa hakushinda 2015.anaweza kushinda kwa kishindo kuliko alivyoshinda JPM mwaka 2015.
Absolutely true.Jiwe a.k.a kichaa hakushinda 2015.
Ikifika zamu yake asiwatumie Tiss tu.Rais Samia amewataka Viongozi Wote kutanguliza maslahi ya Taifa mbele kabla ya maslahi yao na kwamba Wezi hawana nafasi kwenye Serikali yake
Madaraka ni Sawa na Nguo ya kuazima ambayo Siku yoyote mmiliki wa Nguo anaweza kuichukua, amesisitiza mh Rais
Source: Ayo TV
Nawatakia Sabato Njema 😄