Rais Samia chukua hatua kali zaidi, ulikuwepo Awamu ya Tano na sasa upo Awamu ya Sita, unaijua serikali barabara!

Tena Rais ahakikishe anakuwa mkali,nchi iliyojaa vilaza,maskini na corrupt kama hii inatakiwa kuongozwa kwa mkono wa Chuma.

Ilimradi tuu hau compromise haki za binadamu zenye na business community ndivyo nchi maskini zinatakiwa kwenda.

Binafsi utaratibu wa Mwendazake wa ubabe naukubali ila tuu aliniudhi kwenye kupenda kuabudiwa,kuteka watu na kuharibu uchumi na diplomasia ..

Napenda Samia awe chuma hapo ndio uzembe na wizi vitapungua kidogo.
 
Akichukua hatua usianze kulia lia maana anawala vichwa sukuma gang ambao kwa sasa mnamzunguka mama
 
Naona kakuvuga sana,huyo mwendazake alikuwa janga la Taifa,tatizo ni mfumo,Luna watu hawagusiki kwenye nchi hii

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Mama Samia ni Bora kuliko yule mwendakuzimu. Hilo halina ubishi. Ukitoa kasoro alizorithi kutoka kwa mwendawazimu ananafasi kidogo tu ya kujirekebisha na kuwa rais bora.
 
Na vitu kua bei rafiki huduma za kijamii kua za uhakika Yan wasio mpenda magufuli wanafikir kumchafua ni kazi Raish [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Chuki hupofusha kaka, hawezi kukuelewa
 
Kiti kimeanza kupata joto sasa, alifanya makosa kuwatumbua watendaji wengi walioaminiwa na Magufuli hasa Kakonko wa TPA pale alipigwa mchana kweupe kumuondoa pale..

Atakaa Sawa, jicho litakuwa kali sio sasa muda bado
 
Eti madudu ya awamu ya tano anasakiziwa yeye,hivi hakuhudumu awamu ya tano?,tena mshauri namba moja?,mbaya zaidi anawarudisha wahuni wakati Magufuli hakuwamaliza
Huyu ni hasara kwa taifa
Unajua mshauri namba Moja wa rais ni nan?
 
Akaenda kuzificha kwa Kagame, lakini Kagame akamrusha ndio hapo urafiki wao wa kihalifu ulipoishia. Rejea Kagame hakuwa anakuja tena Tanzania, hata mazishi yake hakuhudhuria.
Idiot
 
Akichukua hatua usianze kulia lia maana anawala vichwa sukuma gang ambao kwa sasa mnamzunguka mama
Uongozi ni kuonyesha njia sio kupaka kucha rangi na kupakatwa na wazungu,kisha kujiombeleza fedha za kujikimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…