chikutentema
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 7,694
- 4,954
Sukuma Gang , mnapata taabu sana, na hamtaki kuamini kuwa Mfalme wenu hatorudi tena!Sijasema asiperuzi!
Itakuwa afande Sele mfalme wa rhymesHv ni afande yupi huyo ,Tibaigana au la
Wala hakuna anayepata tabu!Sukuma Gang , mnapata taabu sana, na hamtaki kuamini kuwa Mfalme wenu hatorudi tena!
Wala hakuna anayepata tabu!
Labda aipataye tabu ni wewe na wenzako mlio na maruerue yanayofanana.
Usilazimishe mambo ambayo hayapo.
Sasa mimi nilikuwa na maslahi yepi kwa Magufuli?Ni lazimishe mambo kwa lipi, poleni sana, sina masalahi yoyote na Mama kama mlivyokuwa wasukuma . Poleni sana na mjue zama zimebadirika
HahahahahaaMwendazake alikuwa anatumia ID ya Magonjwa Mtambuka
Swala la usalama wa raia na mali zao ni swala la National security ambalo kiongozi yeyote makini angekuwa ana taarifa sahihi na ameshalifanyia kazi sasa kama taarifa tu anazipata mtandaoni... haya anazungumzia askari ambae hata yeye hamjui ? duh tuendelee kula Mtori nyama zipo chini ila waimba mapambio hamuwezi kuona udhaifu mkubwa uliopo kwa sasa kwa vile nyimbo zinazopigwa na DJ mnazielewa .. badala ya kumwambia Dereva aangalie mbele aache kuwaangalia nyinyi mnamsifia kwa kuweza kuendesha gari huku hatazami barabara soon mtajikuta mpo mtaroni huku watu wamevunjika na wengine kuumia vibaya .
Duh! Mkuu huu ujumbe mkali huu! Ila sijui kama uliowadhamiria watauelewa!Swala la usalama wa raia na mali zao ni swala la National security ambalo kiongozi yeyote makini angekuwa ana taarifa sahihi na ameshalifanyia kazi sasa kama taarifa tu anazipata mtandaoni... haya anazungumzia askari ambae hata yeye hamjui ? duh tuendelee kula Mtori nyama zipo chini ila waimba mapambio hamuwezi kuona udhaifu mkubwa uliopo kwa sasa kwa vile nyimbo zinazopigwa na DJ mnazielewa .. badala ya kumwambia Dereva aangalie mbele aache kuwaangalia nyinyi mnamsifia kwa kuweza kuendesha gari huku hatazami barabara soon mtajikuta mpo mtaroni huku watu wamevunjika na wengine kuumia vibaya .
kweli ? mitandao baadhi ( majungu mkakati bin uzushi ) ...ni siasa tuu lkn Rais anapata hbr za UHAKIKAAnafanya kazi nzuri kusoma mitandao anapata first hand information...Mh. Rais yupo exposed she is a good blend of old age and modern generation kwakua all throughout she has been working at different levels with people from almost all walks of life...Kongole kwake kwakua msomaji mzuri wa mitandao ndiyo njia pekee yaku triangulate informationa anazopelekwa
Ndugu yangu, kiingereza siyo mchezo. Angalia ulichoandika sasa, aibu tupu, si ungeandika tu kiswahili!!??Nobody's know if she's the one or not, i'm just guess if she's the one
Uungwana ni kumrekebisha anaekosea. Ila kukosoa au kulalamika bila kuweka suluhisho la unachokosoa haileti maana.Ndugu yangu, kiingereza siyo mchezo. Angalia ulichoandika sasa, aibu tupu, si ungeandika tu kiswahili!!??
Taasisi ya Rais hata mitandao ni chanzo chake cha Taarifa“Leo nimesoma mtandaoni, Dar es salaam kuna Watu wanajaribu kupima kina cha maji, viujambazi ujambazi na uporaji vimeanza kuja juu, naomba nitoe meseji wasijaribu kina cha maji, IGP upo hapa, mitandaoni wanamtaja Afande mmoja alikomesha ujambazi, wanasema ‘Mama turudishie’, IGP kaliangalie hilo vizuri”———Rais Samia Suluhu wakati akizungumza na Wazee Dar es salaam leo
Kwani nini mitandao maidharau sana ili hali mko bize kutoa maoni yenu humu? Mmesau jinsi ufisadi ulivyoibuliwa kupitia JF na kuidemsha serikali ya JK? Mitandao ndipo pahala sahihi kwa sasa kupata taarifa na Rais yuko sahihi na ni faraja kwetu kwamba anatusoma na kuyachukulia siriazi maoni yetu.Swala la usalama wa raia na mali zao ni swala la National security ambalo kiongozi yeyote makini angekuwa ana taarifa sahihi na ameshalifanyia kazi sasa kama taarifa tu anazipata mtandaoni... haya anazungumzia askari ambae hata yeye hamjui ? duh tuendelee kula Mtori nyama zipo chini ila waimba mapambio hamuwezi kuona udhaifu mkubwa uliopo kwa sasa kwa vile nyimbo zinazopigwa na DJ mnazielewa .. badala ya kumwambia Dereva aangalie mbele aache kuwaangalia nyinyi mnamsifia kwa kuweza kuendesha gari huku hatazami barabara soon mtajikuta mpo mtaroni mmevunjika na wengine kuumia vibaya .
Awe tayari kulala humu akisoma magazeti ya akina P.Mheshimiwa ashauriwe ajiunge na huku jamiiforums naahidi hatojutia muda wake online
Mbona hata mwanakwendazake alikuwepo humu, tukamkera mpaka akatamani kuwa malaika mzima mitandao!Huyu mama mitandao naona inamdemsha sana!
Mara kadhaa sasa anaitaja.
Si ajabu yupo humu…
Mapointless wanatamani hii mitandao izimwe! Huyu Vero mwenyewe ni anti-JF lakini anaitumia kujaza uharo wake humu!Kwani nini mitandao maidharau sana ili hali mko bize kutoa maoni yenu humu? Mmesau jinsi ufisadi ulivyoibuliwa kupitia JF na kuidemsha serikali ya JK? Mitandao ndipo pahala sahihi kwa sasa kupata taarifa na Rais yuko sahihi na ni faraja kwetu kwamba anatusoma na kuyachukulia siriazi maoni yetu.
Kuna taarifa zingine za mambo ya usalama wa Raia na Nchi ukinambia anagemea Mitandao ndo ajue bhasi tufukuze Tiss wote wabaki wanamtandao .. taarifa nyingi za mitandaoni si za kweli kwa maana wanaoandika hawana taarifa sahihi au chanzo makini zaidi ya fikra au maoni binafsi, na nying ni majungu tu sasa ukisema aegemee mitandao kupata taarifa mtakua mnachekesha sana .Kwani nini mitandao maidharau sana ili hali mko bize kutoa maoni yenu humu? Mmesau jinsi ufisadi ulivyoibuliwa kupitia JF na kuidemsha serikali ya JK? Mitandao ndipo pahala sahihi kwa sasa kupata taarifa na Rais yuko sahihi na ni faraja kwetu kwamba anatusoma na kuyachukulia siriazi maoni yetu.